Kwa hakika ligi ya VPL msimu wa 2015/2016 ni raha tu,imekuwa na msisimko wa juu huku timu nne Yanga,Azam,Simba na Mtibwa zikiwa katika viwango vya juu.Azam,Simba,Yanga jana zilitoa dozi na kujiongezea point kuelekea katika kunyakuwa ubingwa wa VPL 2015/2016.Matokea ya jana yalikuwa YANGA 2 MTIBWA 0 -UWANJA JAMUHURI MOROGORO SIMBA 1 STANDA UNITED 0 -UWANJA WA TAIFA AZAM 2 COASTAL UNION 0 -UWANJA CHAMAZI COMPLEX
Mradi wa CERA kutafiti mbegu za Mpunga unaohimili Mabadiliko ya tabianchi
Afrika.
-
Na: Calvin Gwabara – Morogoro.
Wakulima wa kilimo cha mpunga kinachotegemea mvua nchini wamewashukuru
watafiti wa Mradi wa Mpunga Himilivu kwa Mabadilik...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment