Showing posts with label social. Show all posts
Showing posts with label social. Show all posts

Monday, May 9, 2016

TODAY'S MESSAGE

The best way to motivate yourself is to stop stressing about what'll happen when things go wrong and start thinking about how awesome life will be when they go right.

Tokeo la picha la laughing images of african

Friday, April 15, 2016

DIDIER DROGBA NDANI YA TUHUMA YA UFISADI KUPITIA MFUKO WAKE

Didier Drogba foundation imeingia katika kashfa nzito za matumizi yasiyoeleweka kwa hela ambazo zilichangwa kwa makusudi ya kutengeneza hospitali ya kisasa katika jiji la Abijan lengo ni kusaidia watu wenye matatizo mbalimbali ya afya.Vyanzo vinasema ni hela takriban Pound 1.7 milioni zilichangwa na watu maarufu  wachezaji mbali mbali wa Chelsea John Terry,Cole,Lampard na wengine kama David Beckham lakini hadi sasa ni Pound 14,115 tu ndio zilizotumika huku ikionekana mradi uliokusudiwa ukiwa unasusua.

Hii ni tuhuma nzito sana kwa Didier kama atashindwa kutetea matumizi ya fedha zilizochangwa kwani kuputia mfuko huu ameweza kupata fursa nyingi kama kuwa balozi wa UN na Pepsi lakini matokeo yake ameshindwa kutikiza ndoto ya kusaidia watu maskini ni swala linalofanyiwa uchunguzi mambo yakiisha itajulikana mbivu na mbichi.

Tokeo la picha la didier drogba foundation

Saturday, January 23, 2016

C.RONALDO MARUFUKU KWENDA MOROCCO KUMTEMBELEA MSHIKAJI WAKE

C.Ronaldo amepigwa marufuku na Raisi wa Real Madrid F.Perez  kwenda Morocco kumtembelea rafiki yake Badr Hari.Perez amekwenda mbali anaweza kuomba wa Mfalme wa Morocco na rafiki Mohamed VI ili kumjulisha kama Ronaldo atakwenda huko.

Kitendo hicho cha C Ronaldo kwenda morocco kilishuhudia kiwango chake kushuka sana katika kipindi kifupi.

Cristiano Ronaldo and Badr Hari

ANGALIA HII-NICK CANNON AIBEZA KIAINA PETE YA UCHUMBA YA MARIAH CAREY

Need some TLC? Nick Cannon feigned heartsickness in a humorous snap with Kevin Hart's help before congratulating ex-wife Mariah Carey on her engagement to billionaire James Packer on Friday

Thursday, January 21, 2016

Utafiti waonyesha ukosefu wa ajira kuongezeka ifikapo mwisho wa mwaka huu

Tatizo la ajira duniani linaweza ongezeka mwishoni mwa mwaka huu itafiti wa ILO umetabainisha hilo na inatarajiwa watu mil2.3 watapoteza ajira zao duniani kote na inaweza kuongezeka kwa makwa 2017 kufika mil 2.5.Sababu kubwa ni kudorora kwa uchumi na hivyo ubunifu wa ajira umepungua sana.Hili ni tishio hasa kwa nchi maskini ambao vijana wengi wamekuwa wakitegemea ajira za kuajiriwa ambazo zimekuwa zikipungua siku hadi siku kutokana na kukosa viongozi bora na serikali ambazo hazina utawala bora zikibujikwa na matumizi mabaya ya fedha za umma(rushwa.

Stock Photo - Man search job. Fotosearch - Search Stock Photography, Print Pictures, Images, and Photo Clip Art

Tuesday, January 5, 2016

MAHAKAMA YABARIKI BOMOABOMOA MABONDENI NA MAENEO YA WAZI,HUKU NYUMBA 764 ZIKIPONA

Mahakama leo imetoa tamko rasmi kuhusiana na bomoabomoa,taarifa ilijiri imesema nyumba zote zilizo katika maeneo hatarishi hasa ya mabondeni zoezi la bomoabomoa liendelee kama kawa za zile za maeneo ya wazi.Hata hivyo kuna nyumba 764 ambazo zina alama ya "X "ambazo mahakama imepiga stop kwani swala bado liko mahakamani.

Tokeo la picha la ALAMA YA X KWENYE NYUMBA

Ardhi-6

JENIFER LOPEZ BADO BOMBA UMRI NI NAMBA TUU NA HANA MPANGO WA NDOA

Mwanamama Jenifer Lopez akiwa na umri wa miaka 46 bado anaonekana mtamu au mrembo hasa.Hasa alipotokea kwenye kipindi cha Ellen na kukiri kuwa hana mpango wa kufanya sherehe ya ndoa na mpenzi wake
Casper Smart kwa sasa.Ni mwendo wa bata tuu.

Fun-filled appearance: Jennifer played a lively game of JLo or Go with chat show host Ellen

Looking good: Jennifer Lopez was dressed to impress in a demure green ensemble for her appearance on The Ellen DeGeneres Show, set to air on Tuesday night 

JE WEWE UNALALAJE?ANGALIA MITINDO TOFAUTI YA ULALAJI NA MAANA ZAKE

Jinsi unavyo lala inaweza kukupa faraja(ukapata usingizi mzuri na ndoto njema) au ukalala kwa taabu(ukiota ndoto mbaya na zakutisha).Mtaaalumu VAN ameefanya utafiti na kutoa matokea ya jinsi unavyolala.

UKILALIA KUSHOTO
Kuna uwezekano mkubwa  wa kuota mandoto ya ajabu na kuamka huku una weweseka kwa jinsi ya mambo mabaya yanayokutokea unapolalia kushoto,hii imethibitishwa kwa asilimia 40% kwa wale wanaolala mtindo huu.



UKILALIA KULIA

Uwezekano wa kuamka na faraja kwani unalala vizuri huku ukijisikia uko salama kabisa na kupata ahueni nzuri kabisa
woman enjoying restful sleep. Photo credit: © Can Stock Photo Inc. / dnfstyle.


UKILALA KUELEKEA MBELE

Haya mara nyingi wanakuwa wanapata ndoto au mawazo yanayohusiana na mapenzi 

Tokeo la picha la front sleeping stlye

Hivyo ni muhimu kuangalia jinsi unavyolala ili uweze kupata usingizi mtamu na nyororo.


Monday, January 4, 2016

CHINA YASITISHA SHERIA YA KUZAA MTOTO MMOJA SASA WAWILI

Sheria mpya ambayo iko mbioni kutumika itatoa ruhusa kwa wananchi wa China sasa kuweza kuzaa watoto wawili tu.Ikumbukwe hapo mwanzo kulikuwa na zuio lakuwa na mtoto mmoja kama njia ya kupunguza idadi ya wachina ambayo ni moja kati ya mataifa ulimwenguni yenye idadi kubwa kabisa ya watu ambayo ilitolewa mwaka 1970.Na hii imekuja baada ya kuonekana baada ya miaka 15 Uchina itakuwa na kikazi cha wazee tuu.

 Tokeo la picha la chinese babies 

UKATA WAWALIZA DADA POA(MACHANGUDOA)WASEMA KASI YA RAISI MAGUFULI NOMA

Awamu hii ya tano imekuwa ni kuteseka kwa zamu,usemi huu  unadhihirika baada ya baadhi ya madada wanaofanya kazi ya kujiuza kulalamikia kuwa baada ya serikali ya Dr Magufuli kuingia madarakani na kuanza kutumbua majibu kwa kubana mianya yote ya rushwa wateja wao nao wamepungua kwani inaonekana hela ya kufanya matanuzi kwa wafanyakazi wengi imepotea na kuwafanya dada hao kubaki bila soka.Hakika Magufuli analeta adabu wataenda kulima tuu.

Sunday, December 27, 2015

MASTAA WALIVYOKULA BATA KIPINDI CHA XMAS

Mastaa mbalimbali walisherekea sikukuu ya Xmas kwa kula Bata sehemu tulivu katika sehemu tofauti ndani ya Dunia yetu.


 Braless: The 27-year-old singer opted to forgo support as she grabbed a drink and relaxed by the sea in her homeland
Rihanna alikuwa katika fukwe za Barbados

Got his back: Hailey Baldwin was keeping a watchful eye on a shirtless Justin Bieber on Sunday

Justine akifurahia sikukuss na rafiki zake

How the Stars Celebrated Christmas Photos

Mariah Carey na Father Xmas(santa cruz)


How the Stars Celebrated Christmas PhotosChristina Aguilera na mti wa xmas wake

Wednesday, December 9, 2015

RAISI MAGUFULI AUNGURUMA FELI NA KIKWETE MSOGA ASEMA HAJACHOMEKA KITU


Raisi Magufuli na Mama Janet hapa kazi tuu.

Desemba 9 2015 siku ya uhuru wa Tanzania kwa mara ya kwanza ilisherekewa kwa aina ya pekee badala ya kuwa na sherehe kama ilivyokuwa miaka mingine.Kwa maelekezo na mamlaka ya Raisi ilikuwa ni siku ya usafi nchi yote.

Hata hivyo baada ya usafi Raisi Magufuli alipata wasaa wa kuongea na wavivu pale feli nakutoa yafuatayo.

1.Wavivu wote waunde umoja wao na sio umoja kivuli ili msaada utakao toka serikalini uwasaidie wao ili kuepuka kupata viongozi vibaraka.

2.Kuondoa tozo na sheria ambazo hazina tija kama Fire extinguisher  na kusema maji yenyewe yanaweza tumika kama fire extinguisher 

3.Kuwaomba wavivu kutovua kwa njia haramu kwa kutumia baruti n.k

4.Kuwashukuru watanzania wote kwa muitikio wa zoezi la usafi na kusema hapa kazi tuu.


Kwengine Raisi mstaafu JK baada ya usafi alitoa hotuba fupi akisema yafuatayo

1.Katika uongozi wake alikweza kuongeza mapato mpaka bilioni 900

2.Kupambana na wakwepa kodi ingawa sio kazi la rahisi kwani wakwepa kodi hawataacha ndio maana mapambano yataendelea

3.Alisema wanaomshambulia wanapoteza muda wachonge tuu ni siasa za maji taka hata familia yake hakuusika na hivyo wanaosema hachomoki wanapoteza muda bure kwani kachomeka nini?

4.Wamwache Magufuli afanye kazi yake.

Thursday, December 3, 2015

TIGER WOODS AWAELEZA WATOTO WAKE UKWELI KUHUSU KUCHEPUKA KWAKE

Tiger Woods opens up about his infidelities and his love for his children

Tiger Woods ameanza kuongolea maisha yake ya nje na ndani michezo ,yapata miaka sita sasa baada ya Wood kutengana na mke(Elin) wake ambaye alizaa naye watoto wawili(Sam 8 na Charlie 6).Woods akisikitika na kuwaeleza watoto wake kuwa kwa nini hawakai pamoja ni kwa sababu BABA ALIFANYA MAKOSA .Woods amekuwa akipambana na majeruhi ya mgogo kwa muda mrefu sasa ambayo yanaweza kukatisha kwa haraka kuendelea kucheza golf huku mwenyewe akikiri hapendi hilo litokee haraka hivyo. 

Wednesday, December 2, 2015

VINARA WA RUSHWA(UFISADI) BARANI AFRIKA KWA SASA.

Hali ya ufisadi barani Africa imekuwa sugu kwa mataifa mengi viongozi wa serikalini wamekuwa  wakituhumiwa katika kashfa mbali mbali za ufisadi.Nchi nyingi zimeonyesha nia ya kupambana na ufisadi ikiwemo Kenya,Nigeria na Tanzania huku hatua mahususi zikichukuliwa kukabiliana na ufisadi kama kuwafukuza kazi na kuwafikisha katika vyombo vya sheria wale wote waliobainika na ufisadi.

Shirika la TRANSPARENCY INTERNATIONAL kwa mara kwanza imebainisha kuwa wafanyabiashara ndio MAFISADI wakubwa barani Afrika na maafisa wa polisi kuwa ni vinara.Wananchi wamekuwa wakihitajika kutoa hongo ili waweze kupata huduma muhimu jambo ambalo limekuwa chanzo cha umaskini mkubwa sana katika bara hili.

Nchi inayoongoza Afrika kwa sasa ni Liberia huku Cameroon,Nigeria na Siera Leone zikifuata.Nchi za Botswana,Mauritius na Cape Verde zikiwa na asilimia chache kabisa za ufisadi.Hili ni nyanga Afrika mikakati inahitajika kutokemeza hili.

Tokeo la picha la photos to show corruption
Kataa Rushwa kwa nguvu zote.

KATIBU MKUU KIONGOZI ATOA AGIZO TENA KWA WATUMISHI WA UMMA KUVAA BEJI ZENYE MAJINA YAO WAWAPO MAENEO YA KAZI

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sifue  amesisitiza uvaaji wa beji kwa watumishi wa umma wawapo maeneo ya kazi hii ni kutekeleza agizo lililotolewa kama wiki moja iliyopita.Watumishi wote waliagizwa kuvaa beji hizo kama utambulisho hasa wanapo toa huduma ili waweze kutambulika na kama kuna tatizo ili iwe rahisi wananchi kutoa taarifa mara moja.



Balozi Ombeni sifue akionyesha beji yenye jina lake kama hatua ya kutekeleza agizo hilo.

TAHADHARI WILAYA YA ILALA

Manispaa ya ILALA imetoa amri leo kuwa ili kuweza kuweka wilaya hiyo katika hali ya usafi.Kuanzia leo 2-Desemba-2015 mtu yoyote akikamatwa anatupa taka ovyo,atatozwa faini ya elfu 50,000/= na atakaye kukamata anapewa 50% ambayo ni shs25,000/=.

Tokeo la picha la uchafu dar es salaam barabarani

Takataka zikiwa zimetupwa barabarani.

Monday, November 23, 2015

PAPA FRANCIS KUANZA ZIARA YA KITUME BARANI AFRIKA

Kiongozi  Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani anatarajia kuanza ziara yake barani 
Afrika kwa kudhuru Kenya.Papa Francis anatawasili Kenya siku ya Jumatano tayari kuanza kwa ziara hiyo Barani Afrika ambako atakuwa kwa siku mbili na baadaye kwenda Uganda ambako nako atakuwa kwa siku mbili hadi Novemba 29 atakapoondoka kuelekea Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Eneo la Afrika Mashariki ni eneo lenye wakatoliki wengi na katika miaka ya hivi karibuni waumini hao wamekuwa wakijadili kuhusu kile kinachoonekana kama ni mabadiliko katika sera za kikonsevativu za Kanisa Katoliki.
Papa Francis amekuwa kiongozi tofauti sana na Mapapa waliomtangulia huku akiwa na misimamo tofauti juu ya mambo mbali mbali yanayosimamiwa na kanisa katoliki mfano talaka(mchakato wake),mahusiano ya mapenzi baina ya jinsia zinazofanana.Lakini ni Papa ambaye ameweza kuwa na mvuto mkubwa kwa muda mfupi.Tumuombe ziara yake iwe na mafanikio hasa katika kuimarisha IMANI ya wauumini wa dhehebu hilo.
Tokeo la picha la papa francis
Papa Francis 

VIJANA NIA,UVUMILIVU NI DIRA YA MAFANIKIO SOMA HII KWA MBUNGE MDOGO KULIKO WOTE TANZANIA

Bi Halima A Bulembo akiwa na umri tu wa miaka 24 ameweza kuapishwa kuwa miongoni mwa Wabunge wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania.Haikuwa rahisi kufika hapo kwani ni takribani zaidi miaka zaidi ya 13 ameanza siasa akiwa darasa tano 2002 akiwa amegombea  mara tisa,kushindwa mara tano na kushinda  mara tano katika nafasi ya kuwakilisha vijana.Lakini mwaka 2015 ndio amefanikiwa kuwa mbunge wa viti maalumu akiwakilisha vijana,kwa kijana ambaye hana nia na uvumilivu asingeweza kufika alipo Halima leo kwani vijana wengi wanakosa nguvu ya kuwa wavumilivu katika kutimiza ndoto zao wengi wakitamani kupata mafanikio kwa muda mfupi tu.

Halima anamekuwa miongoni mwa mifano ya kuigwa kwa vijana wengi ambayo wanachangamoto nyingi sana katika kutengeneza maisha yao.Kwani ukishindwa kuweka misingi na malengo katika umri huu uwezekano basi uwezekano wa kuwa na maisha bora mbeleni ni mdogo sana.Wito vijana tujiamini na tusimamie malengo yetu hakika tutafika tukiamini katika kujituma zaidi na kuwenga misingi,nia na malengo sahihi.


Halima Bulembo

Tokeo la picha la image of halima bulembo

Akila kiapo cha ubunge

Harsh Truths Black People Don’t Want to Hear


1. Your own jealousies, competitiveness, in-fighting, unwillingness to support one another and pettiness with other black people is what’s keeping you from moving forward. (Pssssst! White people are masters at The Brown vs. Brown Game)
2. We never learn from history because we believe:
a. That white people can change
b. That things are “getting better”
c. God will help us if we just pray and do nothing to help ourselves
d. That just because we lack the capacity for evil, others lack it too.
3. Having the latest gadget, like a 50″ flat screen TV for showing off, is more important than building stronger communities.
4. Eurocentric education is by far the worst thing that has ever happened to us:
5. No matter how big your house, how fancy your car and how expensive your jewelry, whites are not EVER going to be impressed with you or have respect for you. To them, you are just another nigger.
6. Treating each other like garbage isn’t going to win you favours with whites.
7. We kill each other because we can’t kill the enemy.
8. Most other Coloureds, especially those with direct African blood, don’t want anything to do with us for they are ashamed to be labeled with us.

9. The reason why we fight each other is because we hate ourselves.

10. Identifying with white people is the foundation for our mental illness:
11. All black people are mentally ill but we don’t want to accept it.
12. We latch on to other people’s struggles as a way to get them to accept us…which they NEVER do.

13. Black men who hate black women hate themselves.
14. Black women who hate black men have no self-respect.
15. The fact that our children are being lead astray is our fault.

16. The black church is the white man’s most effective weapon.
17. Whites despise us with a blinding passion because they need something we have:
18. We are still waiting to be told how to fix “the problem with no name” because we are too passive and complacent to figure it out ourselves 
19. Marrying/ dating and sleeping with a white person will never change the colour of your skin. Will never gain you acceptance into the White Club and will never stop them from calling you a no-good, low-down, dirty Nigger:
20. If whites had the chance, tomorrow morning slavery would be back with a vengeance…and they would make sure it remains in existence for all eternity. Accept it.
21. We have no friends/ allies on this planet.

KAMA WABUNGE WANAMITAZAMO HII TUMEKWISHA

Kumekuwa na hali ya mpasuko kati ya wabunge walioteuliwa na wananchi juu ya maslahi yao.Kama ilivyo zoeleka katika awamu ya tatu na nne wabunge wamekuwa wakilipwa hela kwa ajili kununulia mashangingi(TOYOTA LAND CRUISER).Inasemekana wabunge wamegoma posho iliyopangwa kwa magari hayo kiasi cha milioni 90 kwa kila mmoja wangine wakitoa hoja shilingi la imeshuka thamani hivyo wanapaswa kupewa milioni 130 ili waweze kununua hayo magari.

Kwa nchi maskini kama Tanzania viwango staiki ambazo wabunge wamekuwa wakilipwa ni mzigo mkubwa kwa Taifa na naweza kusema ni mdudu mbaya sana kwa maendeleo ya Taifa letu.Kuna takribani wabunge zaidi ya 350.Staiki wanazozipata  kwa maoni yangu ni nyingi kwa Taifa kama maskini kama Tanzania na kama ningepata fursa ya kuongea na rahisi maoni yangu ningesema zipunguzwe.Na ikitokea hivyo naamini vita hii itakosa msuluhishi.Nasita kunuu kauli ya Raisi Magufuli msema kweli mpenzi wa mungu wabunge waache kupigania maslahi yao watanzania tuna shida nyingi ambazo zinahitaji maarifa na uweledi wao sio tamaa za utajiri na kujilimbikizia mali katika miaka watakayo kaa bungeni.

Hivyo wanapaswa kumuweka Mungu mbele na kuonyesha uzalendo wakupunguza matumizi yasio ya lazima milioni 130 kwa mahitaji ya jamii zingetosha kuleta zahanati,shule n.k.Ombi langu waweke uzalendo mbele kwa maendeleo ya Taifa kabla wananchi kuanza kuwashangaaa.

Tokeo la picha la landcruiser v8

Tokeo la picha la landcruiser v8


Tokeo la picha la landcruiser v8

Hii ndio V8 Wabunge wanazozitaka hakika ni anasa ambayo haiendani za maisha halisi ya Mtanzania.Nia aibu Muhimbili inakosa vitanda wao wanapigania V8 huku wapiga kura wao wakisota kwa maisha duni.