Sheria mpya ambayo iko mbioni kutumika itatoa ruhusa kwa wananchi wa China sasa kuweza kuzaa watoto wawili tu.Ikumbukwe hapo mwanzo kulikuwa na zuio lakuwa na mtoto mmoja kama njia ya kupunguza idadi ya wachina ambayo ni moja kati ya mataifa ulimwenguni yenye idadi kubwa kabisa ya watu ambayo ilitolewa mwaka 1970.Na hii imekuja baada ya kuonekana baada ya miaka 15 Uchina itakuwa na kikazi cha wazee tuu.
TAIFA GAS YAKATAA KUPANDISHA BEI YA GESI LICHA YA ONGEZEKO LA SOKO LA DUNIA.
-
KAMPUNI ya Taifa Gas imetangaza kuwa haitapandisha bei ya gesi ya majumbani
(LPG) licha ya kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo kwa takribani asilimia 43
katika ...
2 hours ago






0 comments:
Post a Comment