Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B
Zanzibar Heroes
Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.
King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars
Mradi wa CERA kutafiti mbegu za Mpunga unaohimili Mabadiliko ya tabianchi
Afrika.
-
Na: Calvin Gwabara – Morogoro.
Wakulima wa kilimo cha mpunga kinachotegemea mvua nchini wamewashukuru
watafiti wa Mradi wa Mpunga Himilivu kwa Mabadilik...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment