Man city jana walifanikiwa kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea baada ya kupata bao la pili katika dakika za nyiongeneza baada ya Gomiz kusawazisha lakini Toure alifunga bao la ushindi.
Fellain akishangilia goli la kusawazisha.
Manchester United ilishindwa kufurukuta tena jana na kukubali kichapo cha 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth.
Muuaji wa Man u akishangilia goli.
DRC Yatinga kombe la Dunia baada ya miaka 50, Tuanzebe shujaa dhidi ya
Jamaica
-
*Guadalajara, Mexico — Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
(DRC) imeandika historia mpya kwa kufuzu Fainali za Kombe la Dunia kwa mara
ya pi...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment