Kwa hakika ligi ya VPL msimu wa 2015/2016 ni raha tu,imekuwa na msisimko wa juu huku timu nne Yanga,Azam,Simba na Mtibwa zikiwa katika viwango vya juu.Azam,Simba,Yanga jana zilitoa dozi na kujiongezea point kuelekea katika kunyakuwa ubingwa wa VPL 2015/2016.Matokea ya jana yalikuwa YANGA 2 MTIBWA 0 -UWANJA JAMUHURI MOROGORO SIMBA 1 STANDA UNITED 0 -UWANJA WA TAIFA AZAM 2 COASTAL UNION 0 -UWANJA CHAMAZI COMPLEX
Mpango akerwa na Wasiotumia Mfumo wa e-GA,Awataka kuingia kwenye Mfumo huo
Haraka.
-
Na Jane Edward, Arusha
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametoa rai kwa mamlaka ya
serikali mtandao (e-GA) kukamilisha mchakato wa kusani...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment