Kwa hakika ligi ya VPL msimu wa 2015/2016 ni raha tu,imekuwa na msisimko wa juu huku timu nne Yanga,Azam,Simba na Mtibwa zikiwa katika viwango vya juu.Azam,Simba,Yanga jana zilitoa dozi na kujiongezea point kuelekea katika kunyakuwa ubingwa wa VPL 2015/2016.Matokea ya jana yalikuwa YANGA 2 MTIBWA 0 -UWANJA JAMUHURI MOROGORO SIMBA 1 STANDA UNITED 0 -UWANJA WA TAIFA AZAM 2 COASTAL UNION 0 -UWANJA CHAMAZI COMPLEX
DKT. Mwigulu Asisitiza Matumizi Sahihi ya Rasilimali ili Kujenga Uchumi wa
Afrika
-
*Rais Macron atangaza uwekezaji wa dola bilioni 27 Barani Afrika
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 11, 2026 ameshiriki katika
ufunguzi wa Mkutan...
2 hours ago






0 comments:
Post a Comment