NACTE imesogeza muda wa kudahili wanafunzi wanao jiandaa kujiunga na vyuo vikuu ili kuwapa muda zaidi wanafunzi ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa 25-10-2015.Hivyo imetoa wito kwa vyuo vyote ambavyo vipo chini yake vifungwe kwa wiki mbili kuwapa wanafunzi muda wa kujiandaa kupiga kura.Sasa wanafunzi wataendelea kujisajili kupitia mfumo wa CAS mpaka 16-10-2015 na vyuo kufunguliwa Novemba haya yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji NACTE Bw. Adolf Rutaiyuga
TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI WA DAWA AFRIKA, YAWAALIKA
WAWEKEZAJI WA CHINA
-
Na John Mapepele, Wu hani - China
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya
viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha...
16 hours ago







0 comments:
Post a Comment