NACTE imesogeza muda wa kudahili wanafunzi wanao jiandaa kujiunga na vyuo vikuu ili kuwapa muda zaidi wanafunzi ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa 25-10-2015.Hivyo imetoa wito kwa vyuo vyote ambavyo vipo chini yake vifungwe kwa wiki mbili kuwapa wanafunzi muda wa kujiandaa kupiga kura.Sasa wanafunzi wataendelea kujisajili kupitia mfumo wa CAS mpaka 16-10-2015 na vyuo kufunguliwa Novemba haya yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji NACTE Bw. Adolf Rutaiyuga
Tanzanite Royal Gin yasogeza mbele Manyara Tanzanite Marathon, wasanii
kutumbuiza
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara
Manyara Tanzanite Marathon 2026 inatarajiwa kuwa na burudani ya aina yake
baada ya wasanii maarufu nchini, Dully Sykes, Banana...
8 hours ago







0 comments:
Post a Comment