NACTE imesogeza muda wa kudahili wanafunzi wanao jiandaa kujiunga na vyuo vikuu ili kuwapa muda zaidi wanafunzi ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa 25-10-2015.Hivyo imetoa wito kwa vyuo vyote ambavyo vipo chini yake vifungwe kwa wiki mbili kuwapa wanafunzi muda wa kujiandaa kupiga kura.Sasa wanafunzi wataendelea kujisajili kupitia mfumo wa CAS mpaka 16-10-2015 na vyuo kufunguliwa Novemba haya yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji NACTE Bw. Adolf Rutaiyuga
NECTA YATANGAZA MTIHANI WA DARASA LA SABA SEPTEMBA 9 NA 10
-
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza kuwa Mtihani wa Kumaliza
Elimu ya Msingi (PSLE) kwa mwaka 2026 utafanyika Septemba 9 na 10,
ukihusisha...
26 minutes ago







0 comments:
Post a Comment