NACTE imesogeza muda wa kudahili wanafunzi wanao jiandaa kujiunga na vyuo vikuu ili kuwapa muda zaidi wanafunzi ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa 25-10-2015.Hivyo imetoa wito kwa vyuo vyote ambavyo vipo chini yake vifungwe kwa wiki mbili kuwapa wanafunzi muda wa kujiandaa kupiga kura.Sasa wanafunzi wataendelea kujisajili kupitia mfumo wa CAS mpaka 16-10-2015 na vyuo kufunguliwa Novemba haya yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji NACTE Bw. Adolf Rutaiyuga
Vitambulisho vipya vya JAB ni Hatua ya Kuimarisha Taaluma ya Uandishi wa
Habari
-
*Na Mwandishi Wetu, JAB*
*Vitambulisho vipya vya kidijitali vinavyoendelea kutolewa na Bodi ya
Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) vimepokelewa kwa fura...
5 hours ago
0 comments:
Post a Comment