NACTE imesogeza muda wa kudahili wanafunzi wanao jiandaa kujiunga na vyuo vikuu ili kuwapa muda zaidi wanafunzi ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa 25-10-2015.Hivyo imetoa wito kwa vyuo vyote ambavyo vipo chini yake vifungwe kwa wiki mbili kuwapa wanafunzi muda wa kujiandaa kupiga kura.Sasa wanafunzi wataendelea kujisajili kupitia mfumo wa CAS mpaka 16-10-2015 na vyuo kufunguliwa Novemba haya yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji NACTE Bw. Adolf Rutaiyuga
ORXY YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA WILAYANI KARATU,SERIKALI YATOA NENO
-
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Karatu
SERIKALI imesema itaendelea kuwalinda wawekezaji wa ndani pamoja na kuunga
mkono uwekezaji wowote unaofanywa na wa...
13 minutes ago







0 comments:
Post a Comment