Raisi Magufuli leo amewaapisha Mawaziri na Manaibu ambao aliwateua katika zile Wizara ambazo zilikuwa bado hazijapata watendaji hao.Mawaziri hayo ni
1.Profesa J Maghembe-Waziri Maliyasili na Utalii
2.Dkt Philip Mpango-Waziri wa Fedha na Mipango
3.Mhandishi Gerson Lwenge-Waziri Maji na Umwagiliaji
4.Dkt Joyce Ndalichako-Waziri wa Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi
5.Hamad Masauni-Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
6.Prof Makame Mbarawa-Waziri ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano.
![](//2.bp.blogspot.com/-CgQvm1a54zI/VoEBkvE--OI/AAAAAAAAqPk/Q-jcG8qzT6E/s640/PICHA%2B3.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CgQvm1a54zI/VoEBkvE--OI/AAAAAAAAqPk/Q-jcG8qzT6E/s640/PICHA%2B3.png)
Maghembe akila kiapo
Mawaziri wapya kabla kuapishwa.
0 comments:
Post a Comment