Man city jana walifanikiwa kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea baada ya kupata bao la pili katika dakika za nyiongeneza baada ya Gomiz kusawazisha lakini Toure alifunga bao la ushindi.
Fellain akishangilia goli la kusawazisha.
Manchester United ilishindwa kufurukuta tena jana na kukubali kichapo cha 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth.
Muuaji wa Man u akishangilia goli.
Mpango akerwa na Wasiotumia Mfumo wa e-GA,Awataka kuingia kwenye Mfumo huo
Haraka.
-
Na Jane Edward, Arusha
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametoa rai kwa mamlaka ya
serikali mtandao (e-GA) kukamilisha mchakato wa kusani...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment