Man city jana walifanikiwa kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea baada ya kupata bao la pili katika dakika za nyiongeneza baada ya Gomiz kusawazisha lakini Toure alifunga bao la ushindi.
Fellain akishangilia goli la kusawazisha.
Manchester United ilishindwa kufurukuta tena jana na kukubali kichapo cha 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth.
Muuaji wa Man u akishangilia goli.
Maonesho ya Wiki ya Elimu Tanga kuzinduliwa na Waziri Mkenda
-
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Wa Elimu Sayansi Na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda anatarajiwa
kuzindua wiki ya elimu,ujuzi na ubunifu inayoendelea katika viwanj...
8 hours ago






0 comments:
Post a Comment