Mkali wa Tenkomiles toka Nigeria yupo jijini Dar tayari kuwasha moto katika tamasha la mkesha wa mwaka litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Kingsolomoni.Jamaaa akiwa anatamba na wimbo wake wa DURO.
Hakika si pakukosa ili uwezw kufunga mwaka 2015 vizuri kwa burudani kutoka kwa mkali huyo huku tiketi ni 40,000/= kabla ya saa tisa na baada ya hapo ni 70000/=.
WAZIRI WA FEDHA BALOZI OMAR AISHAURI BENKI YA DUNIA KUIWEZESHA SEKTA BINAFSI
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, ameishauri Benki ya Dunia
kuangalia namna ya kuiwezesha sekta binafsi ka...
8 hours ago






0 comments:
Post a Comment