Mkali wa Tenkomiles toka Nigeria yupo jijini Dar tayari kuwasha moto katika tamasha la mkesha wa mwaka litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Kingsolomoni.Jamaaa akiwa anatamba na wimbo wake wa DURO.
Hakika si pakukosa ili uwezw kufunga mwaka 2015 vizuri kwa burudani kutoka kwa mkali huyo huku tiketi ni 40,000/= kabla ya saa tisa na baada ya hapo ni 70000/=.
ORXY YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA WILAYANI KARATU,SERIKALI YATOA NENO
-
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Karatu
SERIKALI imesema itaendelea kuwalinda wawekezaji wa ndani pamoja na kuunga
mkono uwekezaji wowote unaofanywa na wa...
14 minutes ago






0 comments:
Post a Comment