Mkali wa Tenkomiles toka Nigeria yupo jijini Dar tayari kuwasha moto katika tamasha la mkesha wa mwaka litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Kingsolomoni.Jamaaa akiwa anatamba na wimbo wake wa DURO.
Hakika si pakukosa ili uwezw kufunga mwaka 2015 vizuri kwa burudani kutoka kwa mkali huyo huku tiketi ni 40,000/= kabla ya saa tisa na baada ya hapo ni 70000/=.
WANAWAKE WA TRA MOROGORO WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
-
Na FARIDA MANGUBE, MOROGORO
Wanawake wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro wameungana na
wanawake wengine kuadhimisha Siku ya Wanawake Duni...
17 minutes ago






0 comments:
Post a Comment