Mkali wa Tenkomiles toka Nigeria yupo jijini Dar tayari kuwasha moto katika tamasha la mkesha wa mwaka litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Kingsolomoni.Jamaaa akiwa anatamba na wimbo wake wa DURO.
Hakika si pakukosa ili uwezw kufunga mwaka 2015 vizuri kwa burudani kutoka kwa mkali huyo huku tiketi ni 40,000/= kabla ya saa tisa na baada ya hapo ni 70000/=.
UHIFADHI WA MIKOKO WAPEWA MSUKUMO MPYA TANGA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Burian, amewataka wananchi
kuacha ukataji holela wa mikoko na kushiriki kikamili...
8 hours ago






0 comments:
Post a Comment