Mkali wa Tenkomiles toka Nigeria yupo jijini Dar tayari kuwasha moto katika tamasha la mkesha wa mwaka litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Kingsolomoni.Jamaaa akiwa anatamba na wimbo wake wa DURO.
Hakika si pakukosa ili uwezw kufunga mwaka 2015 vizuri kwa burudani kutoka kwa mkali huyo huku tiketi ni 40,000/= kabla ya saa tisa na baada ya hapo ni 70000/=.
Serikali yapewa mwezi mmoja kukamilisha ukarabati wa uwanja wa Benjamin
Mkapa
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imetoa agizo kwa
serikali kuhakikisha ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa unakamilika
ifikapo Ap...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment