Hamna anayeweza amini kwa nini Deo ameondoka mapema.Marehemu Dr Remmy Ongola aliimba akilalama kifo hakina huruma.Ni kweli DEo mauti yamemfika jana baada ya chopa iliyombeba kuanguka katika hifadhi ya Selous.Hakika LUDEWA na Watanzania watakukumbuka daima jembe lao hakika hakuna wa kuzuia kifo.Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihidimie lala salaam kaka Deo.
Rais Ruto aomboleza Kifo cha Mbunge wa Ol Kalou
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Rais wa Kenya, William Ruto, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo
cha Mbunge wa Jimbo la Ol Kalou, David Njuguna Kiaraho, akie...
2 hours ago







0 comments:
Post a Comment