Hamna anayeweza amini kwa nini Deo ameondoka mapema.Marehemu Dr Remmy Ongola aliimba akilalama kifo hakina huruma.Ni kweli DEo mauti yamemfika jana baada ya chopa iliyombeba kuanguka katika hifadhi ya Selous.Hakika LUDEWA na Watanzania watakukumbuka daima jembe lao hakika hakuna wa kuzuia kifo.Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihidimie lala salaam kaka Deo.
Siku ya Familia Duniani: Wito wa Kudhibiti Ongezeko la Watu Kuokoa Uchumi
wa Taifa
-
KATIKA maadhimisho ya Siku ya Familia Duniani, wito umetolewa kwa familia
za Tanzania kuzingatia uzazi wa mpango kama njia muhimu ya kujenga familia
imara...
9 hours ago







0 comments:
Post a Comment