Hamna anayeweza amini kwa nini Deo ameondoka mapema.Marehemu Dr Remmy Ongola aliimba akilalama kifo hakina huruma.Ni kweli DEo mauti yamemfika jana baada ya chopa iliyombeba kuanguka katika hifadhi ya Selous.Hakika LUDEWA na Watanzania watakukumbuka daima jembe lao hakika hakuna wa kuzuia kifo.Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihidimie lala salaam kaka Deo.
Maghembe Avutia Wawekezaji China, Wapanga Kuwekeza Tanzania
-
*NaDodoma, Machi 31, 2026 — Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Afrika Mashariki, Ngwaru Jumanne Maghembe, amekutana na kufanya mazungumzo
na ...
6 hours ago







0 comments:
Post a Comment