Hamna anayeweza amini kwa nini Deo ameondoka mapema.Marehemu Dr Remmy Ongola aliimba akilalama kifo hakina huruma.Ni kweli DEo mauti yamemfika jana baada ya chopa iliyombeba kuanguka katika hifadhi ya Selous.Hakika LUDEWA na Watanzania watakukumbuka daima jembe lao hakika hakuna wa kuzuia kifo.Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihidimie lala salaam kaka Deo.
MAMA NA BABA LISHE: SERIKALI YAJIPANGA UPYA KUBORESHA BIASHARA NA HUDUMA ZA
ULEZI NCHINI
-
Na Janeth Raphael-MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amesisitiza dhamira ya serikali kuendelea kuimarisha mazing...
1 hour ago







0 comments:
Post a Comment