Mwanamama Jenifer Lopez akiwa na umri wa miaka 46 bado anaonekana mtamu au mrembo hasa.Hasa alipotokea kwenye kipindi cha Ellen na kukiri kuwa hana mpango wa kufanya sherehe ya ndoa na mpenzi wake
Casper Smart kwa sasa.Ni mwendo wa bata tuu.
TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI WA DAWA AFRIKA, YAWAALIKA
WAWEKEZAJI WA CHINA
-
Na John Mapepele, Wu hani - China
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya
viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha...
16 hours ago






0 comments:
Post a Comment