Mwanamama Jenifer Lopez akiwa na umri wa miaka 46 bado anaonekana mtamu au mrembo hasa.Hasa alipotokea kwenye kipindi cha Ellen na kukiri kuwa hana mpango wa kufanya sherehe ya ndoa na mpenzi wake
Casper Smart kwa sasa.Ni mwendo wa bata tuu.
TANZANIA NA SOMALIA WASAINI MKATABA MASUALA YA KIUHAMIAJI
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya
Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya
kiuhamiaji.
...
5 hours ago






0 comments:
Post a Comment