Mwanamama Jenifer Lopez akiwa na umri wa miaka 46 bado anaonekana mtamu au mrembo hasa.Hasa alipotokea kwenye kipindi cha Ellen na kukiri kuwa hana mpango wa kufanya sherehe ya ndoa na mpenzi wake
Casper Smart kwa sasa.Ni mwendo wa bata tuu.
WAZIRI WA FEDHA BALOZI OMAR AISHAURI BENKI YA DUNIA KUIWEZESHA SEKTA BINAFSI
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, ameishauri Benki ya Dunia
kuangalia namna ya kuiwezesha sekta binafsi ka...
8 hours ago






0 comments:
Post a Comment