DiGea akiangalia goli la Newcastle
Manchester baada ya kupata ushindi wiki iliyopita katika FA cup jana gonjwa lake la kukosa ushindi limeendelea baada ya kupata sare ya 3-3 dhidi ya Newcastle United.Rooney akifunga mara mbilli 9' na 79 ' na Lingard 38' kabla ya Newcastle kujibu mapigo Wijnaldum 42 Mitrovic 67′ na Dummet 90'.
Aston Villa imepata ushindi wake wa pili katika Ligi kuu kupiitia kwa Lescott 58' ,Licha ya Bournemouth kuanza kushinda ilishuhudia ikipata kichapo kutoka kwa West Ham.
TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI WA DAWA AFRIKA, YAWAALIKA
WAWEKEZAJI WA CHINA
-
Na John Mapepele, Wu hani - China
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya
viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha...
16 hours ago






0 comments:
Post a Comment