Sheria mpya ambayo iko mbioni kutumika itatoa ruhusa kwa wananchi wa China sasa kuweza kuzaa watoto wawili tu.Ikumbukwe hapo mwanzo kulikuwa na zuio lakuwa na mtoto mmoja kama njia ya kupunguza idadi ya wachina ambayo ni moja kati ya mataifa ulimwenguni yenye idadi kubwa kabisa ya watu ambayo ilitolewa mwaka 1970.Na hii imekuja baada ya kuonekana baada ya miaka 15 Uchina itakuwa na kikazi cha wazee tuu.
UHIFADHI WA MIKOKO WAPEWA MSUKUMO MPYA TANGA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Burian, amewataka wananchi
kuacha ukataji holela wa mikoko na kushiriki kikamili...
8 hours ago






0 comments:
Post a Comment