Sheria mpya ambayo iko mbioni kutumika itatoa ruhusa kwa wananchi wa China sasa kuweza kuzaa watoto wawili tu.Ikumbukwe hapo mwanzo kulikuwa na zuio lakuwa na mtoto mmoja kama njia ya kupunguza idadi ya wachina ambayo ni moja kati ya mataifa ulimwenguni yenye idadi kubwa kabisa ya watu ambayo ilitolewa mwaka 1970.Na hii imekuja baada ya kuonekana baada ya miaka 15 Uchina itakuwa na kikazi cha wazee tuu.
Serikali yapewa mwezi mmoja kukamilisha ukarabati wa uwanja wa Benjamin
Mkapa
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imetoa agizo kwa
serikali kuhakikisha ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa unakamilika
ifikapo Ap...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment