Man united imefungwa goli moja na Southamphton,Liverpool imeipiga Norwich City 5-4 katika mechi tamu Lallan ndio alikuwa kinara baada ya kuifungia goli la tano.Leicester imerudi kileleni baada ya kuifinguka Stoke City 3-0.Watford imeifunga Newscastle 2-1.Tottenham imeifunga Crystal Palace 3-1.AFC Bournemouth na Sunderland 1-1 na Aston Villa na WBA.
Huduma za Mabasi ya Mwendokasi Zasitishwa kwa Muda Jijini Dar es Salaam
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametangaza kusitishwa kwa
muda huduma za Mabasi yaendayo Haraka (UDAR...
25 minutes ago






0 comments:
Post a Comment