Man united imefungwa goli moja na Southamphton,Liverpool imeipiga Norwich City 5-4 katika mechi tamu Lallan ndio alikuwa kinara baada ya kuifungia goli la tano.Leicester imerudi kileleni baada ya kuifinguka Stoke City 3-0.Watford imeifunga Newscastle 2-1.Tottenham imeifunga Crystal Palace 3-1.AFC Bournemouth na Sunderland 1-1 na Aston Villa na WBA.
SERIKALI YATAJA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MAPAMBANO YA DAWA ZA
KULEVYA NCHINI
-
-Yasema kwa mara ya kwanza Serikali ilikamata tani 29.52 za aina mpya ya
dawa za kulevya aina ya Kratom
-Pia mali zenye thamani ya zaidi ya Sh.bilioni 3...
1 hour ago






0 comments:
Post a Comment