Man united imefungwa goli moja na Southamphton,Liverpool imeipiga Norwich City 5-4 katika mechi tamu Lallan ndio alikuwa kinara baada ya kuifungia goli la tano.Leicester imerudi kileleni baada ya kuifinguka Stoke City 3-0.Watford imeifunga Newscastle 2-1.Tottenham imeifunga Crystal Palace 3-1.AFC Bournemouth na Sunderland 1-1 na Aston Villa na WBA.
Rais Ruto aomboleza Kifo cha Mbunge wa Ol Kalou
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Rais wa Kenya, William Ruto, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo
cha Mbunge wa Jimbo la Ol Kalou, David Njuguna Kiaraho, akie...
2 hours ago






0 comments:
Post a Comment