Man united imefungwa goli moja na Southamphton,Liverpool imeipiga Norwich City 5-4 katika mechi tamu Lallan ndio alikuwa kinara baada ya kuifungia goli la tano.Leicester imerudi kileleni baada ya kuifinguka Stoke City 3-0.Watford imeifunga Newscastle 2-1.Tottenham imeifunga Crystal Palace 3-1.AFC Bournemouth na Sunderland 1-1 na Aston Villa na WBA.
DC MANGOSONGO AAGIZA KUTENGWA MAENEO MAALUM YA MALISHO NA CHANJO KWA MIFUGO
-
Mwamvua Mwinyi, Mafia, Septemba 25,2025
Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Aziza Mangosongo, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya
hiyo kutenga maeneo maalum kwa ajili ya...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment