Man united imefungwa goli moja na Southamphton,Liverpool imeipiga Norwich City 5-4 katika mechi tamu Lallan ndio alikuwa kinara baada ya kuifungia goli la tano.Leicester imerudi kileleni baada ya kuifinguka Stoke City 3-0.Watford imeifunga Newscastle 2-1.Tottenham imeifunga Crystal Palace 3-1.AFC Bournemouth na Sunderland 1-1 na Aston Villa na WBA.
Serikali yapewa mwezi mmoja kukamilisha ukarabati wa uwanja wa Benjamin
Mkapa
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imetoa agizo kwa
serikali kuhakikisha ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa unakamilika
ifikapo Ap...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment