Monday, February 8, 2016

Arsenal hawako tayari kiakili kushinda taji la Uingereza-Thiery Henry

Nguli wa Arsenal Thiery Henry anapata wasiwasi juu ya mwenendo wa timu yake ya zamani kama kweli ipo imara kifikra katika kugombea kombe la ligi kuu ya Uingereza.Mwenendo wa Arsenal umekuwa wa kususua na kupata matokeo yasiyo na uhakika.Hii inamsikitisha kwani anaona Leicester wana nguvu kifikra katika kutaka kuchukua kombe ila kwa Arsenal kuna walakini kidogo.Tuone katika mechi zijazo nini kitatokea.

Tokeo la picha la thierry henry arsenal pundit

0 comments:

Post a Comment