RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Tume ya Tanzania ya uchaguzi imemtangaza Ndugu John Magufuli kuwa raisi wa awamu ya Tano.Pongezi kwake na Chama Cha Mapinduzi Mungu amjalie awaongoze wananchi vyema.Amefanikiwa kuongoza vyama vyote kwa asilimia 58% ya kura zote za Uraisi zilizopigwa 25 na 26 kwa baadhi ya majimbo.Mungu Ibariki Tanzania tuone mabadiliko tuliyoahidiwa.
RC CHALAMILA ATANGAZA KUSIMAMA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDAKASI MBAGALA
NA KIMARA
-
Na Humphrey Shao, Michuzi tv
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza kuwa kwa sasa
huduma ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara ya Mo...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment