RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Tume ya Tanzania ya uchaguzi imemtangaza Ndugu John Magufuli kuwa raisi wa awamu ya Tano.Pongezi kwake na Chama Cha Mapinduzi Mungu amjalie awaongoze wananchi vyema.Amefanikiwa kuongoza vyama vyote kwa asilimia 58% ya kura zote za Uraisi zilizopigwa 25 na 26 kwa baadhi ya majimbo.Mungu Ibariki Tanzania tuone mabadiliko tuliyoahidiwa.
WASIRA:UKIHONGA CCM ILI UPITISHWE NA WAPIGA KURA UTAFILISIKA,PRESHA ITAKUUA
-
Na Mwandishi Wetu, Songwe
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Stephen Wasira amesema kwa
mfumo wa sasa wa Chama hicho kupata wagombea wake wa uc...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment