RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Tume ya Tanzania ya uchaguzi imemtangaza Ndugu John Magufuli kuwa raisi wa awamu ya Tano.Pongezi kwake na Chama Cha Mapinduzi Mungu amjalie awaongoze wananchi vyema.Amefanikiwa kuongoza vyama vyote kwa asilimia 58% ya kura zote za Uraisi zilizopigwa 25 na 26 kwa baadhi ya majimbo.Mungu Ibariki Tanzania tuone mabadiliko tuliyoahidiwa.
ZAIDI YA WATEJA 1,000 WAREJESHEWA HUDUMA YA MAJI NDANI YA OFA MAALUMU YA
SOUWASA
-
Songea_Ruvuma.
Meneja Huduma kwa Wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira
Songea (SOUWASA), Jumanne Gayo, amesema zaidi ya wateja 1,000 kati ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment