RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Tume ya Tanzania ya uchaguzi imemtangaza Ndugu John Magufuli kuwa raisi wa awamu ya Tano.Pongezi kwake na Chama Cha Mapinduzi Mungu amjalie awaongoze wananchi vyema.Amefanikiwa kuongoza vyama vyote kwa asilimia 58% ya kura zote za Uraisi zilizopigwa 25 na 26 kwa baadhi ya majimbo.Mungu Ibariki Tanzania tuone mabadiliko tuliyoahidiwa.
WIZARA YA ARDHI YAINGILIA KATI SAKATA LA ENEO LENYE MGOGORO GEITA
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa
matumizi ya ardhi unaomhusisha mwekezaji Rashid Kwanzibw...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment