Thursday, October 29, 2015

MAGUFULI NDIE RAISI AWAMU YA TANO




Tokeo la picha la images of magufuli

RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Tume ya Tanzania ya uchaguzi imemtangaza Ndugu John Magufuli kuwa raisi wa awamu ya Tano.Pongezi kwake na Chama Cha Mapinduzi Mungu amjalie awaongoze wananchi vyema.Amefanikiwa kuongoza vyama vyote kwa asilimia 58% ya kura zote za Uraisi zilizopigwa 25 na 26 kwa baadhi ya majimbo.Mungu Ibariki Tanzania tuone mabadiliko tuliyoahidiwa.

0 comments:

Post a Comment