Wednesday, December 30, 2015

MKALI WA WIMBO WA DURO TOKA NIGERIA TENKOMILES YUPO DAR KWA MKESHA WA MWAKA



Mkali wa Tenkomiles toka Nigeria yupo jijini Dar tayari kuwasha moto katika tamasha la mkesha wa mwaka litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Kingsolomoni.Jamaaa akiwa anatamba na wimbo wake wa DURO.

Hakika si pakukosa ili uwezw kufunga mwaka 2015 vizuri kwa burudani kutoka kwa mkali huyo huku tiketi ni 40,000/= kabla ya saa tisa na baada ya hapo ni 70000/=.

LIVERPOOL YAIPIGA SUNDERLAND

Liverpool players celebrate

Christian Benteke shujaa akiwa na kundi la wachezaji wenzake baada ya kufunga goli.

Liverpool jana usiku waliishinda Sunderland kwa goli moja na kufikisha point 30 sawa na Manchester United.Shujaa wa jana alikuwa raia wa Ubelgiji Christian Benteke katika dk ya 46 alipofunga goli safi na kuipa Liverpool ushindi muhimu.

Christian Benteke

Benteke akishinda goli.


RAISI MAGUFULI ATEUA MAKATIBU NA MANAIBU ZAIDI YA 50,HUKU MAPFOFESA NA MADOKTA WAKIONGOZA


Tokeo la picha la RAISI MAGUFULI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.
Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
1. Katibu Mkuu Kiongozi
Balozi - Ombeni Sefue

2. Katibu Mkuu Ikulu
Peter Ilomo

3. Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora
Dkt. Laurian Ndumbaro

4. Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Mhandisi Mussa Iyombe (Katibu Mkuu)
Dkt. Deo Mtasiwa (Naibu Katibu Mkuu - Afya)
Bernard Makali (Naibu Katibu Mkuu - Elimu)

5. Ofisi ya Makamu wa Rais
Mbaraka A. Wakili ( Katibu Mkuu)
Mhandisi Ngosi Mwihava (Naibu Katibu Mkuu)

6. Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge, Sera, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu)
Erick Shitindi (Katibu Mkuu Kazi na Ajira)
Mussa Uledi (Katibu Mkuu Bunge)
Dkt. Hamis Mwinyimvua (Katibu Mkuu - Sera)

7. Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Dkt. Frolence Turuka (Katibu Mkuu - Kilimo)
Dkt. Mashingo (Katibu Mkuu Mifugo)
Dkt. Budeba (Katibu Mkuu - Uvuvi)

8. Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Mhandisi Joseph. Nyamuhanga (Katibu Mkuu - Ujenzi)
Dkt. Leonard M. Chamuliho (Katibu Mkuu - Uchukuzi)
Profesa Faustine R. Kamuzora (Katibu Mkuu - Mawasiliano)
Mary Sassabo (Naibu Katibu Mkuu Mawasiliano)

9. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Dkt. Yamungu Kayandabira (Katibu Mkuu)
Dkt. Moses Kusiluka (Naibu Katibu Mkuu)

10. Wizara ya Maliasili na Utalii
Meja Jenerali Gaudence S. Milanzi (Katibu Mkuu)
Anjelina Madete (Naibu Katibu Mkuu)

11. Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
Dkt. Adelhem James Meru (Katibu Mkuu - Viwanda)
Profesa Adolf F. Mkenda (Katibu Mkuu - Biashara na Uwekezaji)
Mhandisi Joel Malongo (Naibu Katibu Mkuu)

12. Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
Maimuna Tarishi (Katibu Mkuu)
Profesa Simon S. Msanjila (Naibu Katibu Mkuu)
Dkt. Leonard Akwilapo (Naibu Katibu Mkuu)

13. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Dkt. Mpoki Ulisubisya (Katibu Mkuu - Afya)
Sihaba Nkinga (Katibu Mkuu - Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto)

14. Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Profesa Elisante Ole Gabriel Mollel (Katibu Mkuu)
Nuru Halfan Mrisho (Naibu Katibu Mkuu)

15. Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Mbogo Futakamba (Katibu Mkuu)
Mhandisi Kalobero Emmanuel (Naibu Katibu Mkuu)

16. Wizara ya Nishati na Madini
Profesa Justus W. Ntalikwa (Katibu Mkuu)
Profesa James Epifani Mdoe (Naibu Katibu Mkuu)
Dkt. Paulina Pallangyo (Naibu Katibu Mkuu)

17. Wizara ya Katiba na Sheria
Profesa Sifuni Mchome (Katibu Mkuu)
Suzan Paul Mlawi (Naibu Katibu Mkuu)
Amon Mpanju (Naibu Katibu Mkuu)

18. Wizara ya Mambo ya Ndani
Jaji Meja Jenerali Projest A. Rwegasira (Katibu Mkuu)
Balozi Hassan Simba Yahaya (Naibu Katibu Mkuu)

19. Wizara ya Fedha na Mipango
Dkt. Silvacius Likwelile (Katibu Mkuu)
Dorothy Mwanyika (Naibu Katibu Mkuu)
James Dotto (Naibu Katibu Mkuu)
Amina Hamis Shaban (Naibu Katibu Mkuu)

20. Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa
Dkt. Aziz Mlima (Katibu Mkuu)
Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi ( Naibu Katibu Mkuu)

21. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Job D. Masima (Katibu Mkuu)
Immaculate Peter Ngwale (Naibu Katibu Mkuu

Makatibu wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wote ambao hawajatajwa katika orodha hii watapangiwa kazi nyingine.

Katika hatua nyingine Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Eliakimu Maswi kuwa Kaimu Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na ametengua uteuzi wa Naibu Kamishina wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. Lusekelo Mwaseba, ambaye atapangiwa kazi nyingine

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
30 Desemba, 2015

HALI YA KISIASA ZANZIBAR YAANZA KUZUA TAHARUKI TENA

Ni takriban miezi miwili tangu uchaguzi wa Zanzibar kuhairishwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo Jecha.Yamepita mengi kwa kipindi chote huku mikutano ikifanyika mara kwa mara kutafuta suluhu.Huku kukiwa na tangazo kuwa kuanza kwa maandalizi ya uchaguzi hatua hiyo ambayo imeendelea kupingwa na CUF wakidai haiwezi kufanyika wakati maazungumzo bado yanaendelea.

Kwa matamko haya ya CUF yameendelea kuleta hali ya sintofahamu kwa wananchi wa Zanzibar.Ni wakati mgumu sana inabidi busura za viongozi wetu itumike ili kuweza kumaliza mgogoro huu wa kisiasa Zanzibar

Tokeo la picha la jussa

MANCHESTER CITY YATOSHANA NGUVU NA LEICESTER

Man city jana usiku ilishindwa kupata pointi tatu kutoka kwa Leicester baada ya kutoka sululu.Matokeo hayo yamekuwa faraja kubwa kwa Arsenal ambayo inaendelea kushika usukani wa Ligi hiyo.

Leicester v Manchester CityMtifuano kati ya wachezaji wa man city na leicester

Monday, December 28, 2015

ARSENAL YAKWEA KILELENI LIGU KUU UINGEREZA ,OZIL MOTO NI ULE ULE

Timu ya Asernal baada ya kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa Southphotn imejirekerebisha na kupata point ya ziada kuwapiku Leicester.Leicester wanacheza na Manchester City leo mchezo muhimu kwa timu a zote mbili.

Magoli ya Arsenal yamefungwa na Gabriel 27' na Ozil 63',Wenger ameendelea kumsifia mchezaji wake Mesut Ozil kwa kiwango anacho kionyesha msimu huu.Ozil amekuwa mtu muhimu kwa kila goli la Arsenal msimu huu.

Arsenal celebrate scoring

Gabriel akishangilia goli lake nyuma ya Ozil na Walcott

Mesut Ozil

MAGUFULI AWAAPISHA KINA MAGHEMBE NA WENZAKE KUANZA KAZI RASMI

Raisi Magufuli leo amewaapisha Mawaziri na Manaibu ambao aliwateua katika zile Wizara ambazo zilikuwa bado hazijapata watendaji hao.Mawaziri hayo ni

1.Profesa J Maghembe-Waziri Maliyasili na Utalii

2.Dkt Philip Mpango-Waziri wa Fedha na Mipango

3.Mhandishi Gerson Lwenge-Waziri Maji na Umwagiliaji

4.Dkt Joyce Ndalichako-Waziri wa Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi

5.Hamad Masauni-Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

6.Prof Makame Mbarawa-Waziri ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano.

Maghembe akila kiapo

Mawaziri wapya kabla kuapishwa.



Sunday, December 27, 2015

MBWANA SAMATTA KARIBU KUTUA UBELGIJI KATIKA KLABU YA GENK

Hatimaye Mbwana Samatta anaweza kucheza ligi ya Ubelgiji katika klabu ya Genk na kuweza kutimiza ndoto yake ya kucheza ulaya kwa mara ya kwanza.Mbwana Samatta safari yake haikuwa rahisi kama tunavyoweza ila bidii ndio imemfikisha hapo alipo kukaa ndani ya Timu yenye vipi tofauti TP MAZEMBE si mchezo hatuna budi kumtakia heri kama atafanikiwa kwenda GENK.

Tokeo la picha la mbwana samata

MASTAA WALIVYOKULA BATA KIPINDI CHA XMAS

Mastaa mbalimbali walisherekea sikukuu ya Xmas kwa kula Bata sehemu tulivu katika sehemu tofauti ndani ya Dunia yetu.


 Braless: The 27-year-old singer opted to forgo support as she grabbed a drink and relaxed by the sea in her homeland
Rihanna alikuwa katika fukwe za Barbados

Got his back: Hailey Baldwin was keeping a watchful eye on a shirtless Justin Bieber on Sunday

Justine akifurahia sikukuss na rafiki zake

How the Stars Celebrated Christmas Photos

Mariah Carey na Father Xmas(santa cruz)


How the Stars Celebrated Christmas PhotosChristina Aguilera na mti wa xmas wake

Tuesday, December 22, 2015

UPENDO WA AJABU KWANI BINADAMU WOTE NI SAWA

Katika hali ya sasa ambako kila kona ya dunia tunashuhudia mashambulizi ya kigaidi mengine yakihusisha utengano wa dini kati ya ya Waislamu na Wakristo.Hivi karibuni nchini Kenya kulitokea utekaji wa basi na magaidi wa Alshabab kwa lengo la kuwaangamiza wakristo wote ambao walikuwa Abiria baada ya kuwatangazia kuwa abiria wakislamu wako salama.

Ndipo upendo na ubinadamu na ile dhana iliyojengwa kwa baadhi yetu kuwa waislamu ni wapenda machafuko ilipojizihirisha kuwa sio kweli ni mitazamo ya watu wabaya.Baada ya tangazo hilo baadhi ya wanawake wakislamu waliokuwa abiria ilibidi wavue hijab zao na kuwafunika wale wa dhehebu la kikristo ili kuwaepusha na maangamizi dhidi ya magaidi hawa wanaotia doa dini inayo huburi upendo ya uislamu na kuweza kuwaokoa na vifo.

Tukio hili ni la kuigwa sana kwani binadamu wote ni sawa licha ya tofauti zetu za rangi,dini lakini hakuna tunachotofautiana mbele ya mwenyezi Mungu.

Monday, December 21, 2015

ARSENAL YAICHAPA MANCHESTER CITY JANA USIKU,OZIL MAN OF THE MATCH

Mesut Ozil "Man of the Match" aliweza kutengeneza nafasi mbili kwa Walcott dk 33 na Olivier Giroud  45 na kuweza kuilaza Man City 2-1 katika uwanja wa Emirates.Kwa matokeo hayo Arsenal imeendelea kushikilia nafasi ya 2 katika msimamo wa ligi kuu.Yaya Toure alifunga goli dk 82

Ozil na Walcott wakishangilia goli

Yaya Toure
Yaya akizozana na refa

ARSENAL NA MAN CITY JINO KWA JINO LEO SAA TANO USIKU KWA AFRIKA MASHARIKI

Asernal na Manchester City wanakutana leo katika mechi nzito wote wakiwa nadi  kibarua kigumu cha kusaka ubingwa ambao unachagizwa na upinzani mkubwa dhidi ya Leicister ambayo mpaka sasa ina point 38.

Ni mechi ambayo kila timu inahitaji matokeo kwani kupunguza point kwa kinara wa ligi kwa sasa.Mchezo huo utapigwa majira ya saa tano kwa masaa ya Afrika Mashariki.



Tokeo la picha la man city vs asernal images logo

MIAKA MINNE YA UCHUMBA SUGU IMEKWISHA LAMPARD AMUOA CHRISTINE

Ni miaka minne tangu nguli wa soka wa England Frank Lampard walipoanza mapenzi na rafikia yake ambaye jana alikuwa mke kamili baada ya kufunga ndoa na mtangazaji Christine katika kanisa la Mtakatifu Paul jijini London.

Man and wife: Christine Bleakley and Frank Lampard sealed their wedding ceremony with a kiss, after tying the knot at St Paul's Church in London on Sunday evening

Monday, December 14, 2015

CHELSEA KWA UNUKA TENA MOURIHNO ASEMA ANAHUJUMIWA ,LEICESTER YAPAA KILELENI

Diego Costa squares up to Jamie Vardy

Diego Costa akijibishana Vardy

Jana usiku Chelsea ilipata kipigo cha 9 kwenye ligi kuu nchini Uingereza,alikuwa mfungaji mahiri Vardy dk 34 alianza kuleta msiba na baadaye Mahrez dk 48.Na Loic Remy kufunga bao dk 77 la kufuta machozi kwa matokeo hayo Chelsea imeshuka mpaka nafasi 16 huku Leicester ikipaa mpaka nafasi ya 1

Mourihno kwa mara kwanza aliwashutumu wachezaji wake kuwa wanamsaliti na hawajitoi kikamilifu katika kutafuta ushindi na kujitoa katika kumaliza 4 bora msimu huu,"kwani magoli waliyofungwa hayastahili kabisa kwani nimefanya nao kazi kwa siku nne kabla ya mechi hii najua wataawambia ni waungwana" alisema Mourihno kwa masikitiko.

Jose Mourinho

Mourihno akisitika wakati wa mechi

Riyad Mahrez and Jamie Vardy

Mahrez na Vardy wakishangilia

Saturday, December 12, 2015

NCHI YAANZA KWENDA MCHAKAMKA BAADA YA MAWAZIRI KUAPISHWA JANA,SIKIA BAADHI YAO NA KAULI ZAO


Siku ya Jumamosi ilikuwa ni siku maalumu kwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri kula kiapo kama ishara ya kuanza kazi ramsi chini ya kauli MBIU HAPA KAZI TU.Baada tu kuapishwa mawaziri walitoa matamko.


1.William Lukuvi-Waliojenga maeneo yasiyo rasmi waanze kutekeleza wajibu wao

2.Dr Kigwangala-Board yote ya hospitali ya Amana tukutane kesho saa 10 Wizarani kwa maelekezo zaidi

3.Ummy Mwalimu-Vyandarua vinunulie katika hospitali ya Mwananyamala na maboresho yafanyike haraka

4.Muhongo-Kasi ya umeme vijijini itarudi pale pale,bei itashuka ya umeme na kazi ifanyike kwa vitendo

5.Kairuki-Tehema itumuke katika mahudhurio ya wafanyakazi waachane na madaftari

6.Nape haki za wasanii zitalindwa

 


AZAM,YANGA,SIMBA ZAPATA DROO LIGI KUU VODACOM,MATOKEO YOTE HAPA

Tokeo la picha la vodacom PREMIER logo


Vodacom premier ligi iliendelea jana kwa michezo mbali mbali ila masikio na macho yalikuwa katika mechi kati ya Simba na Azam  taifa mjini Dar es salaam na Mgambo na Yanga Mkwakwani-Tanga.Matokeo yote

SIMBA SC 2-2 AZAM FC
KAGERA SUGAR 1-1 NDANDA FC
MGAMBO SHOOTING 0-0 YANGA SC 
MBEYA CITY 2-2 MTIBWA SUGAR
STAND UNITED 0-2 MWADUI FC
MAJIMAJI 1-5 TOTO AFRICANS