Monday, November 9, 2015

HATMA YA VIONGOZI WA SERIKALI ZANZIBAR BADO TATA

Huku Katiba ikimpa mamlaka Dkt Shei kuendelea kuongoza serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.Utata umekuja juu ya mawaziri wake katika hali hiyo baadhi ya Mawaziri waliokuwa wameshikilia wizara mbalimbali Visiwani hasa wale wa CUF wamesema kisheria  wao sio viongoza si tena.Ni zaidi sasa wa wiki mbili mbili swala la Zanzibar  linapata sura mpya kula kukicha huku Chama Cha Wananchi (CUF) kikataa hatua ya Mwenyekiti wa Tume ndugu Jecha kufuta uchaguzi na baadala yake wanaomba tume hiyo itumie busara kuwapa ushundi wao kwani hata baadhi ya Wawakilishi walishapewa vyeti vyao vya ushindi na tume hivyo sio hali kupinga ushindi walioupata.

Tokeo la picha la images of zanzibar citiznes

0 comments:

Post a Comment