Friday, September 2, 2016

SIKIA HII YA RAISI WA TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI

Katika hali ambayo haikutarajiwa Raisi amewesahii wale wote ambao wameficha mapesa wakiogopa wanaweza kugundulika baada ya kuzipata kwa njia ambazo sio halali hasa kwa msemo wa mjini KUPIGA DILI wameaswa wazitoe ziingie kwenye mzuko.Kwani kwa mamlaka aliyonayo anaweza amuru kuchapisha fedha mpya mara moja ili aweze kuwazibiti wenye fedha hizo haramu.

Tokeo la picha la picha ya noti ya elfu kumi

0 comments:

Post a Comment