Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B
Zanzibar Heroes
Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.
King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars
SERIKALI YATAJA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MAPAMBANO YA DAWA ZA
KULEVYA NCHINI
-
-Yasema kwa mara ya kwanza Serikali ilikamata tani 29.52 za aina mpya ya
dawa za kulevya aina ya Kratom
-Pia mali zenye thamani ya zaidi ya Sh.bilioni 3...
1 hour ago






0 comments:
Post a Comment