Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B
Zanzibar Heroes
Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.
King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars
WAAJIRI WANAOZINGATIA SHERIA ZA KAZI WAPONGEZWA
-
Na OWM-KAM, Mwanza.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus
Sangu, amepongeza waajiri nchini wanaotekeleza wajibu wao k...
19 minutes ago






0 comments:
Post a Comment