Wakilishi wa Tanzania Bara Kili Stars itashuka uwanjani leo saa kumi tayari kwa mechi yake ya pili dhidi ya Amavubi timu ya Taifa ya Rwandwa.Ikikumbukwa Kili Stars katika mechi yake ya kwanza iliifunga Somalia 4-0.Ni matumaini ya Watanzania timu itaendeleza ubabe kwa Amavubi leo pia.
Wakati Zanzibar Heroes walioanza vibaya leo nao wanakibarua kingine cha kusaka pointi ili waweze kusonga hatua ya pili watakapo kutana na timu ngumu ya Uganda.
Kapteni Zanzibar heroes(Nadir Cannavaro)
TANZANIA NA SOMALIA WASAINI MKATABA MASUALA YA KIUHAMIAJI
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya
Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya
kiuhamiaji.
...
5 hours ago






0 comments:
Post a Comment