Wakilishi wa Tanzania Bara Kili Stars itashuka uwanjani leo saa kumi tayari kwa mechi yake ya pili dhidi ya Amavubi timu ya Taifa ya Rwandwa.Ikikumbukwa Kili Stars katika mechi yake ya kwanza iliifunga Somalia 4-0.Ni matumaini ya Watanzania timu itaendeleza ubabe kwa Amavubi leo pia.
Wakati Zanzibar Heroes walioanza vibaya leo nao wanakibarua kingine cha kusaka pointi ili waweze kusonga hatua ya pili watakapo kutana na timu ngumu ya Uganda.
Kapteni Zanzibar heroes(Nadir Cannavaro)
TADB YAENDELEA KUSOGEZA HUDUMA ZA KIFEDHA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI ZANZIBAR
-
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), imesema katika kutambua umuhimu wa
kusogeza huduma karibu zaidi kwa wadau wake inaendelea na mipango ya
kufungua ofisi...
1 hour ago






0 comments:
Post a Comment