Muigizaji nguli Eddie Murphy(54) anategemea kupata mtoto wa tisa katika maisha yake na mpenzi wake Paige Butcher(36).Mtoto huyo anatarajiwa mwezi wa tano mwaka 2016.Eddie Murphy ana watoto wengine nane kutoka kwa wanawake wanne tofauti akiwemo muimbaji wa zamani wa kundi la Spice girls Mel B.Anasema kwake sio shida bado wako vizuri na watoto wote hao ambayo wanakutana katika kipindi cha mapumziko katika jumba lake hivyo wako vizuri.
Serikali yapewa mwezi mmoja kukamilisha ukarabati wa uwanja wa Benjamin
Mkapa
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imetoa agizo kwa
serikali kuhakikisha ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa unakamilika
ifikapo Ap...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment