Muigizaji nguli Eddie Murphy(54) anategemea kupata mtoto wa tisa katika maisha yake na mpenzi wake Paige Butcher(36).Mtoto huyo anatarajiwa mwezi wa tano mwaka 2016.Eddie Murphy ana watoto wengine nane kutoka kwa wanawake wanne tofauti akiwemo muimbaji wa zamani wa kundi la Spice girls Mel B.Anasema kwake sio shida bado wako vizuri na watoto wote hao ambayo wanakutana katika kipindi cha mapumziko katika jumba lake hivyo wako vizuri.
WAZIRI WA FEDHA BALOZI OMAR AISHAURI BENKI YA DUNIA KUIWEZESHA SEKTA BINAFSI
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, ameishauri Benki ya Dunia
kuangalia namna ya kuiwezesha sekta binafsi ka...
8 hours ago






0 comments:
Post a Comment