Muigizaji nguli Eddie Murphy(54) anategemea kupata mtoto wa tisa katika maisha yake na mpenzi wake Paige Butcher(36).Mtoto huyo anatarajiwa mwezi wa tano mwaka 2016.Eddie Murphy ana watoto wengine nane kutoka kwa wanawake wanne tofauti akiwemo muimbaji wa zamani wa kundi la Spice girls Mel B.Anasema kwake sio shida bado wako vizuri na watoto wote hao ambayo wanakutana katika kipindi cha mapumziko katika jumba lake hivyo wako vizuri.
Rais Ruto aomboleza Kifo cha Mbunge wa Ol Kalou
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Rais wa Kenya, William Ruto, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo
cha Mbunge wa Jimbo la Ol Kalou, David Njuguna Kiaraho, akie...
2 hours ago






0 comments:
Post a Comment