Muigizaji nguli Eddie Murphy(54) anategemea kupata mtoto wa tisa katika maisha yake na mpenzi wake Paige Butcher(36).Mtoto huyo anatarajiwa mwezi wa tano mwaka 2016.Eddie Murphy ana watoto wengine nane kutoka kwa wanawake wanne tofauti akiwemo muimbaji wa zamani wa kundi la Spice girls Mel B.Anasema kwake sio shida bado wako vizuri na watoto wote hao ambayo wanakutana katika kipindi cha mapumziko katika jumba lake hivyo wako vizuri.
DC MANGOSONGO AAGIZA KUTENGWA MAENEO MAALUM YA MALISHO NA CHANJO KWA MIFUGO
-
Mwamvua Mwinyi, Mafia, Septemba 25,2025
Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Aziza Mangosongo, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya
hiyo kutenga maeneo maalum kwa ajili ya...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment