Muigizaji nguli Eddie Murphy(54) anategemea kupata mtoto wa tisa katika maisha yake na mpenzi wake Paige Butcher(36).Mtoto huyo anatarajiwa mwezi wa tano mwaka 2016.Eddie Murphy ana watoto wengine nane kutoka kwa wanawake wanne tofauti akiwemo muimbaji wa zamani wa kundi la Spice girls Mel B.Anasema kwake sio shida bado wako vizuri na watoto wote hao ambayo wanakutana katika kipindi cha mapumziko katika jumba lake hivyo wako vizuri.
TANZANIA NA SOMALIA WASAINI MKATABA MASUALA YA KIUHAMIAJI
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya
Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya
kiuhamiaji.
...
5 hours ago






0 comments:
Post a Comment