Muigizaji nguli Eddie Murphy(54) anategemea kupata mtoto wa tisa katika maisha yake na mpenzi wake Paige Butcher(36).Mtoto huyo anatarajiwa mwezi wa tano mwaka 2016.Eddie Murphy ana watoto wengine nane kutoka kwa wanawake wanne tofauti akiwemo muimbaji wa zamani wa kundi la Spice girls Mel B.Anasema kwake sio shida bado wako vizuri na watoto wote hao ambayo wanakutana katika kipindi cha mapumziko katika jumba lake hivyo wako vizuri.
SERIKALI YAZINDUA BOTI KUIMARISHA DORIA BAHARINI, MAZIWA MAKUU
-
-Ni boti zinazotumia nusu saa Dar-Zanzibar ,Waziri Mkuu atoa maelekezo
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAZIRI Mkuu Dk.Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaende...
2 hours ago






0 comments:
Post a Comment