Mtoto wa Kaka mchezaji wa kimataifa wa Brazili katika hali isiyo ya kawaida kwenye uwanja wa mazoezi ya wa timu ya Brazili,mtoto alionyesha kipaji cha hali ya juu baada ya kumpiga chenga ya mwili beki huyo nguli wa Brazili kabla ya kufunga goli safi kabisa ama kweli mtoto wa joka ni joka.
Luca akifanya yake mbele ya David Luiz
Luca akifunga goli safi
Wajasiliamali Dodoma wamsimamisha Rais Samia wakiomba uwezeshaji zaidi
-
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, amewataka vijana nchini kulinda amani na kutokubali kutumika katika
vitendo...
14 hours ago






0 comments:
Post a Comment