Mtoto wa Kaka mchezaji wa kimataifa wa Brazili katika hali isiyo ya kawaida kwenye uwanja wa mazoezi ya wa timu ya Brazili,mtoto alionyesha kipaji cha hali ya juu baada ya kumpiga chenga ya mwili beki huyo nguli wa Brazili kabla ya kufunga goli safi kabisa ama kweli mtoto wa joka ni joka.
Luca akifanya yake mbele ya David Luiz
Luca akifunga goli safi
TANZANIA NA SOMALIA WASAINI MKATABA MASUALA YA KIUHAMIAJI
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya
Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya
kiuhamiaji.
...
5 hours ago






0 comments:
Post a Comment