Mtoto wa Kaka mchezaji wa kimataifa wa Brazili katika hali isiyo ya kawaida kwenye uwanja wa mazoezi ya wa timu ya Brazili,mtoto alionyesha kipaji cha hali ya juu baada ya kumpiga chenga ya mwili beki huyo nguli wa Brazili kabla ya kufunga goli safi kabisa ama kweli mtoto wa joka ni joka.
Luca akifanya yake mbele ya David Luiz
Luca akifunga goli safi
Mpango akerwa na Wasiotumia Mfumo wa e-GA,Awataka kuingia kwenye Mfumo huo
Haraka.
-
Na Jane Edward, Arusha
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametoa rai kwa mamlaka ya
serikali mtandao (e-GA) kukamilisha mchakato wa kusani...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment