Wednesday, September 30, 2015

Azam,Simba na Yanga mbele kwa mbele VPL

Kwa hakika ligi ya VPL msimu wa 2015/2016 ni raha tu,imekuwa na msisimko wa juu huku timu nne Yanga,Azam,Simba na Mtibwa zikiwa katika viwango vya juu.Azam,Simba,Yanga jana zilitoa dozi na kujiongezea point kuelekea katika kunyakuwa ubingwa wa VPL 2015/2016.Matokea ya jana yalikuwa YANGA 2 MTIBWA 0 -UWANJA JAMUHURI MOROGORO SIMBA 1 STANDA UNITED 0 -UWANJA WA TAIFA AZAM 2 COASTAL UNION 0 -UWANJA CHAMAZI COMPLE...

Utambue ugonjwa wa kipindupindu (cholera)dalili zake,maambukizi,kinga na tiba

Kipindupindu Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria aina Vibrio cholera. Ugonjwa huu ni moja ya magonjwa ya nayoiathiri jamii hasa pale unapotokea kwani ni miongoni mwa magonjwa ya milipuko. Ugonjwa huu uambukizwa kutokana na vimelea vinavyopendelea kuishi kwenye kinyesi cha binadamu. Mtu anaweza kuambukizwa ugonjwa kwa kunywa maji au kula chakula kilichochafuliwa na kinyesi chenye vimelea vya kipindupindu. Baada ya mtu kula chakula au kunywa kinywaji...

Diamond kama kawa 2015

Mwanamuki Diamond ametajwa tena kuania tuzo za Headies za nchini Nigeria katika kipengele cha African Artiste,watanzania yetu ni support....

SIASA HATARI!!!! ALBINO WAKIMBIA MPAKA WA TANZANIA KUHOFIA IMANI ZA KISHIRIKINA

Katika hali ya kusikitisha albino waishio mpakani mwa Tanzania na Kenya wamelazimika kukimbilia Kenya kuhofia kutumia kama chambo na wanasiasa wa Tanzania katika kipindi hichi cha uchaguzi ili kuweza kushinda katika nafasi zinazotarajiwa kupigiwa kura 25-10-2015.Huku ikikadiriwa zaidi ya albino 35 kuwa wamekimbia na hii imekuja baada ya Mr Encok(albino)kushambulia na watu na kuacha na majeraha.Tatizo hili limekuwa lina shamiri sana toka 2000 mpaka...

Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi onesho la Swahili International Expo.

Rais Kikwete anatarajia kuzindua onesho la utalii la Swahili International Expo ambalo linatalajiwa kuanza Oct Mosi hadi 3 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani city.Onesho hili linakuwa ni la pili baada ya lile la eawali kufanyika mwaka jana 1-4-2014 na liliweza kuvuta waonyeshaji 40 na mawakala 19 wa utalii(Hosted buyers).Jumla ya wageni 1200 waliweza kuhudhuria huku mdhamini mkuu akiwa Ethiopian Airline. Onesho la mwaka huu linatarajiwa kuwa na waonyeshaji...

Tuesday, September 29, 2015

Asernal yafa tena UEFA yapigwa 3-2 na Olympiakos

Matumani ya Asernal kufika hatua ya mtoano yamefifia baada ya kufungwa tena na Olympiakos katika dimba la Emirates.Iliwachukua wageni dakika 33 kupata bao la kwanza kupitia kwa Felipe Pardo kabla ya Theo Walcott kusawazisha dakika ya 35 na dakika ya 40 David Ospina alijifunga mwenyewe.Alexis Sanchez mnamo dakika 65 aliisawazishia tena Asernal lakini kama vile bahati haikuwa kwao tena dakika moja baadae Aflred Finnbogason akahitimisha msiba mwingine...

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

NA JAMIIMOJABLOG) WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!! ~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe. ~ugonjwa...