Wednesday, September 30, 2015

Azam,Simba na Yanga mbele kwa mbele VPL

Kwa hakika ligi ya VPL msimu wa 2015/2016 ni raha tu,imekuwa na msisimko wa juu huku timu nne Yanga,Azam,Simba na Mtibwa zikiwa katika viwango vya juu.Azam,Simba,Yanga jana zilitoa dozi na kujiongezea point kuelekea katika kunyakuwa ubingwa wa VPL 2015/2016.Matokea ya jana yalikuwa YANGA 2 MTIBWA 0 -UWANJA JAMUHURI MOROGORO SIMBA 1 STANDA UNITED 0 -UWANJA WA TAIFA AZAM 2 COASTAL UNION 0 -UWANJA CHAMAZI COMPLEX

0 comments:

Post a Comment