Kwa hakika ligi ya VPL msimu wa 2015/2016 ni raha tu,imekuwa na msisimko wa juu huku timu nne Yanga,Azam,Simba na Mtibwa zikiwa katika viwango vya juu.Azam,Simba,Yanga jana zilitoa dozi na kujiongezea point kuelekea katika kunyakuwa ubingwa wa VPL 2015/2016.Matokea ya jana yalikuwa YANGA 2 MTIBWA 0 -UWANJA JAMUHURI MOROGORO SIMBA 1 STANDA UNITED 0 -UWANJA WA TAIFA AZAM 2 COASTAL UNION 0 -UWANJA CHAMAZI COMPLEX
DC SIKONGE AHAMASISHA UHIFADHI WA MIOMBO, ATAJA FURSA ZA UTALII MTO KOGA
-
Farida Mangube Sikonge, Tabora
Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Thomas Mnyinga amewataka wakazi wa wilaya hiyo
kulinda na kuhifadhi misitu ya miombo, akieleza kuw...
53 minutes ago






0 comments:
Post a Comment