NACTE imesogeza muda wa kudahili wanafunzi wanao jiandaa kujiunga na vyuo vikuu ili kuwapa muda zaidi wanafunzi ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa 25-10-2015.Hivyo imetoa wito kwa vyuo vyote ambavyo vipo chini yake vifungwe kwa wiki mbili kuwapa wanafunzi muda wa kujiandaa kupiga kura.Sasa wanafunzi wataendelea kujisajili kupitia mfumo wa CAS mpaka 16-10-2015 na vyuo kufunguliwa Novemba haya yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji NACTE Bw. Adolf Rutaiyuga
DK.NCHIMBI AWAOMBA WANANCHI SHINYANGA KUMPIGIA KURA ZA KISHINDO ZA URAIS
DKT.SAMIA,WABUNGE NA MADIWANI.
-
Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel
John Nchimbi akiwahutubia Wakazi wa mji mdogo wa Isaka wilayani Kahama,
jimbo...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment