NACTE imesogeza muda wa kudahili wanafunzi wanao jiandaa kujiunga na vyuo vikuu ili kuwapa muda zaidi wanafunzi ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa 25-10-2015.Hivyo imetoa wito kwa vyuo vyote ambavyo vipo chini yake vifungwe kwa wiki mbili kuwapa wanafunzi muda wa kujiandaa kupiga kura.Sasa wanafunzi wataendelea kujisajili kupitia mfumo wa CAS mpaka 16-10-2015 na vyuo kufunguliwa Novemba haya yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji NACTE Bw. Adolf Rutaiyuga
DC SHAKA ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI KUTUMIA NYUMBA ZA IBADA KUJENGA
JAMII YENYE HOFU YA MUNGU
-
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
MKUU wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka, amewataka viongozi, Taasisi za
dini kutumia nyumba za ibada kujenga jamii yenye maa...
3 hours ago







0 comments:
Post a Comment