Tuesday, January 12, 2016

MANCHESTER UNITED BADO KIMEO HUKU ASTON VILLA YAPATA USHINDI WA KWANZA.MATOKEO YOTE HAPA.

Paul Dummett rescues a point for NewcastleDiGea akiangalia goli la Newcastle

Manchester baada ya kupata ushindi wiki iliyopita katika FA cup jana gonjwa lake la kukosa ushindi limeendelea baada ya kupata sare ya 3-3 dhidi ya Newcastle United.Rooney akifunga mara mbilli 9' na 79 ' na Lingard 38' kabla ya Newcastle kujibu mapigo Wijnaldum 42  Mitrovic 67′ na Dummet 90'.

Aston Villa imepata ushindi wake wa pili katika Ligi kuu kupiitia kwa Lescott 58' ,Licha ya Bournemouth kuanza kushinda ilishuhudia ikipata kichapo kutoka kwa West Ham.


0 comments:

Post a Comment