Thursday, November 19, 2015

HATIMAYE KASSIM MAJALIWA NDIYE WAZIRI MKUU WA TANZANIA


Tokeo la picha la images of majaliwa
Raisi wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania mweshimiwa Dkt John Joseph Pombe Magufuli amemteua Ndugu Majaliwa Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu mteule.Kwa ufupi Waziri mteule aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Tamisemi na pia ni Mbunge wa Jimbo la Ruangwa,kitaaluma ni mwalimu na pia aliwahi kushika nyadhifa mbali mbali serikalini kama mkuu wa wilaya.Mh Majaliwa amepitishwa kwa asilimia 73% kwa kura zilizopigwa na Wabunge .
Kesho kulingana na taarifa za Mh Spika Job Ndugai waziri huyo mteule ataapishwa katika Ikulu ndogo ya Chamwino na Raisi.


0 comments:

Post a Comment