Sheria mpya ambayo iko mbioni kutumika itatoa ruhusa kwa wananchi wa China sasa kuweza kuzaa watoto wawili tu.Ikumbukwe hapo mwanzo kulikuwa na zuio lakuwa na mtoto mmoja kama njia ya kupunguza idadi ya wachina ambayo ni moja kati ya mataifa ulimwenguni yenye idadi kubwa kabisa ya watu ambayo ilitolewa mwaka 1970.Na hii imekuja baada ya kuonekana baada ya miaka 15 Uchina itakuwa na kikazi cha wazee tuu.
SERIKALI YATENGA BILIONI 25 KUTEKELEZA MRADI WA SLR
-
Na Mwandishi Wetu,
MBEYA,
16 Machi, 2025
KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema
kiasi cha Shilingi Bilioni 25 zimetengwa ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment