Sheria mpya ambayo iko mbioni kutumika itatoa ruhusa kwa wananchi wa China sasa kuweza kuzaa watoto wawili tu.Ikumbukwe hapo mwanzo kulikuwa na zuio lakuwa na mtoto mmoja kama njia ya kupunguza idadi ya wachina ambayo ni moja kati ya mataifa ulimwenguni yenye idadi kubwa kabisa ya watu ambayo ilitolewa mwaka 1970.Na hii imekuja baada ya kuonekana baada ya miaka 15 Uchina itakuwa na kikazi cha wazee tuu.
SOMALIA KUSHIRIKIANA NA MSD KWENYE MANUNUZI YA BIDHAA ZA AFYA NA
KUBADILISHANA UZOEFU
-
Rais wa Somalia Mheshimiwa Hassan Sheikh Mohamud amesema nchi yake imeamua
kushirikiana kwa karibu na Bohari ya Dawa ya Tanzania katika ununuzi wa
bidhaa z...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment