Sheria mpya ambayo iko mbioni kutumika itatoa ruhusa kwa wananchi wa China sasa kuweza kuzaa watoto wawili tu.Ikumbukwe hapo mwanzo kulikuwa na zuio lakuwa na mtoto mmoja kama njia ya kupunguza idadi ya wachina ambayo ni moja kati ya mataifa ulimwenguni yenye idadi kubwa kabisa ya watu ambayo ilitolewa mwaka 1970.Na hii imekuja baada ya kuonekana baada ya miaka 15 Uchina itakuwa na kikazi cha wazee tuu.
DK.SAMIA ATAJA MAMBO MATATU YANAYOSIMAMIWA NA SERIKALI KATIKA KULETA
MAENDELEO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan
ametaja aina tatu ambazo Serikali imeende...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment