Sheria mpya ambayo iko mbioni kutumika itatoa ruhusa kwa wananchi wa China sasa kuweza kuzaa watoto wawili tu.Ikumbukwe hapo mwanzo kulikuwa na zuio lakuwa na mtoto mmoja kama njia ya kupunguza idadi ya wachina ambayo ni moja kati ya mataifa ulimwenguni yenye idadi kubwa kabisa ya watu ambayo ilitolewa mwaka 1970.Na hii imekuja baada ya kuonekana baada ya miaka 15 Uchina itakuwa na kikazi cha wazee tuu.
NCHIMBI AKIPOKEA BARAKA ZA MAMA YAKE MZAZI
-
Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda
mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa
Chama Cha...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment