Wednesday, January 6, 2016

MAMLAKA YA MAPATO (TRA) YAKUSANYA MAPATO YA KIHOSTORIA,,PROF LIPUMBA ATOA ANGALIZO

Tokeo la picha la TANZANIA REVENUE AUTHORITY BUILDING PHOTO

Kwa mara ya kwanza ndani ya mwenzi mmoja mamlaka ya mapato TRA imewezeka kukusanya mapato ya kodi na kufikia TILIONI MOJA POINTI NNE-(1.4.Hii ni historia kwa TRA kuweza kukusanya fedha zote hizo kwa mwezi ikiwa ni ongezeko la karibuni billioni 400 wanahitaji pongezi ila kasi zaidi ina hitajika.

Wakati huohuo Prof. Ibrahimu Limumba ametoa angalizo kwa TRA kuwa wabunifu zaidi na wasibweteke na makusanyo ya ushuru kupitia bidhaa zinazotoka njee maana upo uwezekano kuwa ongezeko hilo ni baada ya wafanyabiashara kubanwa na kulipa kodi ipasavyo.Hivyo inaweza pia kuwafanya kusitisha kuagiza njee kwani faida waliokuwa wakiipata wanaweza kutoipata tena hivyo ni lazima wigo wa kodi uongezeke na sio kubakia sehemu moja tu.

0 comments:

Post a Comment