Monday, January 4, 2016

CHELSEA YAANZA JEURI TENA,MADRID YASHIKWA NA VALENCIA

Chelsea jana walishinda goli tatu dhidi ya Crystal Palace wakicheza soka safi Oscar dk 29,Willian dk 60 na Costa dk 66 walistosha kabisa kuisambaratisha timu jeuri hiyo.

Willian scores for Chelsea

Huko Hispania Real Madrid na Valencia walishindana nguvu na kutoka sare ya 2-2.Huku Bale na Ronaldo wakikosa nafasi muhimu baada ya kushindwa kuwasiliana na kufanya Madrid ikiendelea kusotea nafasi ya tatu.Huku magoli ya wenyeji yakifungwa na Parejo na Alcacer na wageni Bale na Benzema 

Gary Neville

0 comments:

Post a Comment