Thursday, January 14, 2016

Mohamed Elneny rasmi Arsenal Fc

Arsenal wamefanikiwa kumsajili kiungo mkabaji raia wa Misri Mohamed Elneny kwa ada ya uhamisho wa Pound 5m kutoka Balse ya Switzerland.Tayari tangu alhamisi ameanza mazoezi tayari kwa mechi za ligi kuu na championi ligi.Bado ndio kwanza ana umri wa miaka 23 hivyo atafanya makubwa kama ataweza kwenda na kasi ya ligi maarufu ya Barclays Premier Ligi.

Tokeo la picha la mohamed elneny

0 comments:

Post a Comment