Monday, January 18, 2016

BEI YA MAFUTA YAZIDI KUSHUKA HAIJAWAHI KUTOKEA TANGU 2003

Bei ya mafuta imezidi kushuka zaidi katika kipindi hichi cha 2016 hii kwa takwimu inaonyesha ni anguko la kihistoria kutokea tangu 2003 ambapo ilishuka mpaka dola 27.67 kwa pipa.Waatalamu wa uchumi wanabashiri anguko linaweza kuwa kubwa hadi kufikia kati ya dola 28-24 kwa pipa hii inaweza kuwa kwani IRAN nchi inayotoa mafuta kwa wingi kwa sasa imefutiwa vikwazo vyake.Hivyo Iran  inaweza ongeza uzalishaji maradufu kwa mapipa nusu milioni kwa siku,nchi inashika nafasi ya 4 duniani katika utoaji wa mafuta.

Tokeo la picha la photos for oil extraction

0 comments:

Post a Comment