Friday, January 8, 2016

SERIKALI YATOA PICHA MAALUMU YA RAISI JOHN POMBE MAGUFULI KWA MATUMIZI YA OFISI BINAFSI NA SERIKALI

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maelezo na Habari Zamaradi Kawawa akiongea na waandishi wa Habari leo alionyesha picha rasmi ya Mh John Pombe Magufuli ambayo ndio itakayotumika katika ofisi zote za binafsi na serikali.Kwa maelezo ya Kaimu Mkurugenzi huyo picha hiyo itauzwa kwa gharama ya shs 15,000 tu bila Fremu.Pia alitoa onyo kwa wale wanjanja wa kucopy na kupaste kuwa picha hiyo itapatikana katika taasisi hiyo ambayo ndio inamaamlaka ya kuuza picha hiyo.

Dar es salaam.

Habari Maelezo Mtaa wa Samora.

Mikoani

Kwa wakala wa manunuzi serikali kwa mikoa yote. 


Zamaradi Kawawa.


0 comments:

Post a Comment