Sunday, January 17, 2016

ROONEY APIGA GOLI LA MWAKA AIPA MAN U POINTI TATU

Wayne Rooney licha ya kusakamwa na vyombo vya habari hivi karibu leo ameonyesha kile ambacho mashabiki wa Man U walikikosa siku nyingi baada ya kufunga goli maridadi katika dk 78' dhidi ya Liverpool na kuipa timu yake pointi tatu muhimu na kufikisha alama 37 huku ikishika nafasi ya tano katika msimamo wa ligi kuu ya Uingereza.Liverpool licha ya kutengeneza nafasi nzuri za ushindi walishindwa kabisa kuweka mpira kimiani huku De Gea akiwa katika kiwango chake aliweza kuokoa nafasi nzuri za Liverpool kupata goli hivyo Liverpool inaendelea kuwa na pointi 31 ,nafasi ya 9 katika ligi kuu ya Uingereza.

Manchester United striker Wayne RooneyRooney akifunga goli nzuri dhidi ya Liverpool.

0 comments:

Post a Comment