Wednesday, January 13, 2016

DR SHEIN ATOA MATUMAINI MAPYA SIKU YA MAPINDUZI YA MIAKA 52 JANA,SEIFU AKACHA

Tokeo la picha la dr shein

Hali ya siasa ya Zanzibar bado haiko sawa hasa baada ya Maalim Seifu Makamu wa Raisi kusema hatoweza kuhudhuria sherehe hizo.Dr Shein ambaye katiba bado inamtambua kama Raisi halali wa Zanzibar jana alitoa matumaini mapya baada ya kuwaeleza umma wa wananchi wa Zanzibar kuhusu mzozo wa kisiasa kuwa mpaka sasa hivi mazungumzo yako katika hatua nzuri na uchaguzi utafanyika tena kulingana na katiba inavyosema hivyo wananchi wanapaswa kusubili tarehe rasmi ya kupiga kura.

0 comments:

Post a Comment