Friday, January 22, 2016

TAREHE YA KURUDIA UCHAGUZI ZANZIBAR YAWEKWA WAZI

Habari za hivi punde tume ya uchaguzi chini ya Jecha imetangaza siku ramsi ya marudio ya uchaguzi mkuu Zanzibar kuwa ni Machi 20,2016.

Uchaguzi utahusisha:
1.Uchaguzi wa Raisi

2.Wajumbe wa baraza la wawakilishi

3.Madiwani

Hivyo katika kipindi hakutakuwa na uteule mpya wa wagombea wala kampeni.

Tokeo la picha la JECHA

1 comments:

  1. Casino Site Review 2021 - Lucky Club
    Casino site offers an amazing welcome bonus, amazing promotions and some top gaming platforms. Get luckyclub.live more welcome bonuses for 2021 here. Check out our 2021 Casino Site review.

    ReplyDelete