Man united imefungwa goli moja na Southamphton,Liverpool imeipiga Norwich City 5-4 katika mechi tamu Lallan ndio alikuwa kinara baada ya kuifungia goli la tano.Leicester imerudi kileleni baada ya kuifinguka Stoke City 3-0.Watford imeifunga Newscastle 2-1.Tottenham imeifunga Crystal Palace 3-1.AFC Bournemouth na Sunderland 1-1 na Aston Villa na WBA.
MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AENDELEA KUCHANJA MBUGA…
AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI MBALIZI
-
*Atoa maelekezo kwa wakulima kuendelea kujisajili katika mfumo wa kupata
Mbolea ya ruzuku,pembejeo.
*Aahidi mambo makubwa katika miaka mitano ijayo …agus...
9 hours ago
0 comments:
Post a Comment