Man united imefungwa goli moja na Southamphton,Liverpool imeipiga Norwich City 5-4 katika mechi tamu Lallan ndio alikuwa kinara baada ya kuifungia goli la tano.Leicester imerudi kileleni baada ya kuifinguka Stoke City 3-0.Watford imeifunga Newscastle 2-1.Tottenham imeifunga Crystal Palace 3-1.AFC Bournemouth na Sunderland 1-1 na Aston Villa na WBA.
Vijana Kagera wamshauri Mwenyekiti UVCCM kuomba radhi
-
Faris katikati akiwa na wenzake kwenye moja ya kazi za chama
Ni kwa kauli yake ya kupoteza wanaotukana mitandaoni
Na Mwandishi Wetu, Kagera
VIJANA wa...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment