Asernal wamezima ndoto za Manchester United kukaa kileleni baada ya kukubali kichapo kikubwa ndani ya uwanja wa Emirate Sanchez akifunga mara mbili dakika ya 6 na 19 huku Ozil akifunga moja dakika ya 7.Nakuifanya Asernal kukwea hadi nafasi ya pili nyuma ya Man u.
JUMANNE YA KUPIGA PESA NA UEFA HII HAPA.
-
LIGI ya mabingwa barani Ulaya, UEFA leo hii kupigwa mechi za Play-off
ambapo wewe sasa nafasi ya kupiga mkwanja wa maana upo. Weka timu zako za
ushindi n...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment