Asernal wamezima ndoto za Manchester United kukaa kileleni baada ya kukubali kichapo kikubwa ndani ya uwanja wa Emirate Sanchez akifunga mara mbili dakika ya 6 na 19 huku Ozil akifunga moja dakika ya 7.Nakuifanya Asernal kukwea hadi nafasi ya pili nyuma ya Man u.
SERIKALI YATAJA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MAPAMBANO YA DAWA ZA
KULEVYA NCHINI
-
-Yasema kwa mara ya kwanza Serikali ilikamata tani 29.52 za aina mpya ya
dawa za kulevya aina ya Kratom
-Pia mali zenye thamani ya zaidi ya Sh.bilioni 3...
1 hour ago








0 comments:
Post a Comment