Asernal wamezima ndoto za Manchester United kukaa kileleni baada ya kukubali kichapo kikubwa ndani ya uwanja wa Emirate Sanchez akifunga mara mbili dakika ya 6 na 19 huku Ozil akifunga moja dakika ya 7.Nakuifanya Asernal kukwea hadi nafasi ya pili nyuma ya Man u.
TBS Kanda ya Dar es salaam yateketeza bidhaa hafifu tani 50
-
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza jumla ya tani 50 za bidhaa
hafifu zenye thamani ya shilingi milioni 525, ambapo kati ya hizo tani 40
zimeish...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment