<div style="text-align: justify;"> Waswahili hupenda kusema muda umetaradadi zikiwa zimebakia siku 9 kabla ya wananchi wa Taznania kufanya maamuzi juu ya kiongozi wao wa nchi.Mambo yanaendelea Kwa wagombea wenye wafuasi wengi huku Lowassa akitoa onyo kwa NEC baada ya mambo kadhaa kuibuka kama sintofahamu katika daftari la wapiga kura na kauli za kuingilia NEC katika kazi zake katika kipindi hichi kabla ya uchaguzi huku matamko yenye utata yakitolew na viongozi wakuu wa serikali.Lakini kwa upande wa Magufuli yeye bado anaendelea na kampeni huku akiahidi mambo mengi tuu kama kuwapa mikataba mawaziri atakao wateua na nyengine nyingi.
VODACOM YAWAPA WASICHANA DAR ES SALAAM MAFUNZO YA TEHAMA KUPITIA PROGRAM YA
'CODE LIKE A GIRL'
-
*Mtaalamu wa mifumo ya kompyuta wa kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, Naamini
Yonazi akiongea na wasichana wanaofanya mafunzo ya Code like a Girl
yanayofadh...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment