<div style="text-align: justify;"> Waswahili hupenda kusema muda umetaradadi zikiwa zimebakia siku 9 kabla ya wananchi wa Taznania kufanya maamuzi juu ya kiongozi wao wa nchi.Mambo yanaendelea Kwa wagombea wenye wafuasi wengi huku Lowassa akitoa onyo kwa NEC baada ya mambo kadhaa kuibuka kama sintofahamu katika daftari la wapiga kura na kauli za kuingilia NEC katika kazi zake katika kipindi hichi kabla ya uchaguzi huku matamko yenye utata yakitolew na viongozi wakuu wa serikali.Lakini kwa upande wa Magufuli yeye bado anaendelea na kampeni huku akiahidi mambo mengi tuu kama kuwapa mikataba mawaziri atakao wateua na nyengine nyingi.
WAZIRI WA FEDHA BALOZI OMAR AISHAURI BENKI YA DUNIA KUIWEZESHA SEKTA BINAFSI
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, ameishauri Benki ya Dunia
kuangalia namna ya kuiwezesha sekta binafsi ka...
8 hours ago







0 comments:
Post a Comment