Kayumba Juma mtoto wa Manzese ndio mshindi wa Bongo Star Search season 8,hii ndio michakato tunayotaka kusisitiza maisha ni kupigana Kayumba angeona aibu na kujichukulia poa kwa sababu ya historia yake leo tusingekuwa tunampa HEADLINES,lakini kipaji kimemfikisha katika maisha mengine na anaweza kufanikiwa zaidi kama akiwa makini na kujituma ni kijana mdogo wa miaka 19 tuu.Ni wakati wa kupigania ndoto zetu na tutafanikiwa Ben Paul ameimba you can be anyone.Big up Kayumba pigana zaidi dogo,vijana wenye nia wataiga kwako.
Tanzanite Royal Gin yasogeza mbele Manyara Tanzanite Marathon, wasanii
kutumbuiza
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara
Manyara Tanzanite Marathon 2026 inatarajiwa kuwa na burudani ya aina yake
baada ya wasanii maarufu nchini, Dully Sykes, Banana...
8 hours ago







0 comments:
Post a Comment