Kada wa CCM kwa zaidi ya miaka 61 Mzee wetu Kingune Ngomali Mwiru ameamua kuachia ngazi na kujiweka pembeni na siasa za Tanzania.Huku akisema amechoshwa na chama ambacho kimeshindwa kufuata katiba yake hivyo no bora akae pembeni na kuaahidi kuwa hana sababu ya kujiunga na chama chochote.Na amesisitiza kuwa huu ni wakati wamabadiliko akiiamini puumzi mpya inahitajika katika kuongoza taifa letu akitoa mfano kuwa kwa miaka kumi toka 2005-2015 uchumi wa Tanzania umeshindwa kukua.Hiyo inatosha kabisa kuacha nafasi kwa chama chake cha zamani ili kiweze kujipanga hivyo kama kitashindwa.Tunamtakiwa mzee wetu maisha mapya nje ya siasa kwaheri Mzee Kingunge.
SERIKALI YATAJA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MAPAMBANO YA DAWA ZA
KULEVYA NCHINI
-
-Yasema kwa mara ya kwanza Serikali ilikamata tani 29.52 za aina mpya ya
dawa za kulevya aina ya Kratom
-Pia mali zenye thamani ya zaidi ya Sh.bilioni 3...
1 hour ago







0 comments:
Post a Comment