Simba jana ilirejesha matumaini baada ya kuifunga coasta union katika uwanja wa Taifa bao 1-0 Kiiza akiwa shujaa baadaya majeruhi.
Yanga ilitoka sare 2-2 na Mwadui huko Shinyanga huku ngoma akipiga zote mbili.
MATOKEO YA JANA
MWADUI 2 YANGA 2
SIMBA 1 COASTAL UNION 0
TOTO AFRICANA 1 MGAMBO JKT 0
MTIBWA SUGAR 1 KAGERA SUGAR 0
MBEYA CITY 1 MAJIMAJI 1
NDANDA 0 STAND UNITED 0
SERIKALI YATAJA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MAPAMBANO YA DAWA ZA
KULEVYA NCHINI
-
-Yasema kwa mara ya kwanza Serikali ilikamata tani 29.52 za aina mpya ya
dawa za kulevya aina ya Kratom
-Pia mali zenye thamani ya zaidi ya Sh.bilioni 3...
1 hour ago






0 comments:
Post a Comment