Simba jana ilirejesha matumaini baada ya kuifunga coasta union katika uwanja wa Taifa bao 1-0 Kiiza akiwa shujaa baadaya majeruhi.
Yanga ilitoka sare 2-2 na Mwadui huko Shinyanga huku ngoma akipiga zote mbili.
MATOKEO YA JANA
MWADUI 2 YANGA 2
SIMBA 1 COASTAL UNION 0
TOTO AFRICANA 1 MGAMBO JKT 0
MTIBWA SUGAR 1 KAGERA SUGAR 0
MBEYA CITY 1 MAJIMAJI 1
NDANDA 0 STAND UNITED 0
TBS Kanda ya Dar es salaam yateketeza bidhaa hafifu tani 50
-
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza jumla ya tani 50 za bidhaa
hafifu zenye thamani ya shilingi milioni 525, ambapo kati ya hizo tani 40
zimeish...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment