Simba jana ilirejesha matumaini baada ya kuifunga coasta union katika uwanja wa Taifa bao 1-0 Kiiza akiwa shujaa baadaya majeruhi.
Yanga ilitoka sare 2-2 na Mwadui huko Shinyanga huku ngoma akipiga zote mbili.
MATOKEO YA JANA
MWADUI 2 YANGA 2
SIMBA 1 COASTAL UNION 0
TOTO AFRICANA 1 MGAMBO JKT 0
MTIBWA SUGAR 1 KAGERA SUGAR 0
MBEYA CITY 1 MAJIMAJI 1
NDANDA 0 STAND UNITED 0
HAKIKISHENI MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA HAUSIMAMI - DKT MWIGULU
-
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi
wa Bwawa la Maji Kidunda hausimami na unakamilika kwa wakati ili uanze
kutoa hud...
6 hours ago






0 comments:
Post a Comment