Simba jana ilirejesha matumaini baada ya kuifunga coasta union katika uwanja wa Taifa bao 1-0 Kiiza akiwa shujaa baadaya majeruhi.
Yanga ilitoka sare 2-2 na Mwadui huko Shinyanga huku ngoma akipiga zote mbili.
MATOKEO YA JANA
MWADUI 2 YANGA 2
SIMBA 1 COASTAL UNION 0
TOTO AFRICANA 1 MGAMBO JKT 0
MTIBWA SUGAR 1 KAGERA SUGAR 0
MBEYA CITY 1 MAJIMAJI 1
NDANDA 0 STAND UNITED 0
JUMANNE YA KUPIGA PESA NA UEFA HII HAPA.
-
LIGI ya mabingwa barani Ulaya, UEFA leo hii kupigwa mechi za Play-off
ambapo wewe sasa nafasi ya kupiga mkwanja wa maana upo. Weka timu zako za
ushindi n...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment