RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Tume ya Tanzania ya uchaguzi imemtangaza Ndugu John Magufuli kuwa raisi wa awamu ya Tano.Pongezi kwake na Chama Cha Mapinduzi Mungu amjalie awaongoze wananchi vyema.Amefanikiwa kuongoza vyama vyote kwa asilimia 58% ya kura zote za Uraisi zilizopigwa 25 na 26 kwa baadhi ya majimbo.Mungu Ibariki Tanzania tuone mabadiliko tuliyoahidiwa.
WAZIRI WA FEDHA BALOZI OMAR AISHAURI BENKI YA DUNIA KUIWEZESHA SEKTA BINAFSI
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, ameishauri Benki ya Dunia
kuangalia namna ya kuiwezesha sekta binafsi ka...
8 hours ago






0 comments:
Post a Comment