RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Tume ya Tanzania ya uchaguzi imemtangaza Ndugu John Magufuli kuwa raisi wa awamu ya Tano.Pongezi kwake na Chama Cha Mapinduzi Mungu amjalie awaongoze wananchi vyema.Amefanikiwa kuongoza vyama vyote kwa asilimia 58% ya kura zote za Uraisi zilizopigwa 25 na 26 kwa baadhi ya majimbo.Mungu Ibariki Tanzania tuone mabadiliko tuliyoahidiwa.
Mtaji wa Matumaini Wagusa Wakazi Wa Buguruni
-
Katika mtaa wa Mivinjeni kata ya Buguruni, Meridianbet imeendesha kampeni
maalum ya kusaidia familia zenye uhitaji. Tukio hili lilikuwa ni ushuhuda
wa n...
18 hours ago






0 comments:
Post a Comment