RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Tume ya Tanzania ya uchaguzi imemtangaza Ndugu John Magufuli kuwa raisi wa awamu ya Tano.Pongezi kwake na Chama Cha Mapinduzi Mungu amjalie awaongoze wananchi vyema.Amefanikiwa kuongoza vyama vyote kwa asilimia 58% ya kura zote za Uraisi zilizopigwa 25 na 26 kwa baadhi ya majimbo.Mungu Ibariki Tanzania tuone mabadiliko tuliyoahidiwa.
UHIFADHI WA MIKOKO WAPEWA MSUKUMO MPYA TANGA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Burian, amewataka wananchi
kuacha ukataji holela wa mikoko na kushiriki kikamili...
9 hours ago






0 comments:
Post a Comment