Maisha ni kutafuta bila kuchoka vijana wenzangu ingawa ajira zimekuwa ngumu ila naamini kila mtu ana nafasi yake na atafanikiwa kwa muda wake kwa wale hofu ya Mungu wanaamini hivyo pia kuomba bila kuchoka kwani yeye aliyejuu anajibu kwa wakati wake.Ingawa sisi tunachoka ni hali ya kawaida ukiwa unatafuta ila msingi ni kujua HAKUNA MAENDELEO KAMA HAMNA MAPAMBANO. Tembelea website yao kwa maelezo zaidi http://www.ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=386
KATIBU MKUU CCM AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, leo
Jumatatu,Machi 9,2026, amefungua rasmi mafunzo maalum ya Uongozi na Utawala
Bora kwa v...
1 hour ago







0 comments:
Post a Comment