Maisha ni kutafuta bila kuchoka vijana wenzangu ingawa ajira zimekuwa ngumu ila naamini kila mtu ana nafasi yake na atafanikiwa kwa muda wake kwa wale hofu ya Mungu wanaamini hivyo pia kuomba bila kuchoka kwani yeye aliyejuu anajibu kwa wakati wake.Ingawa sisi tunachoka ni hali ya kawaida ukiwa unatafuta ila msingi ni kujua HAKUNA MAENDELEO KAMA HAMNA MAPAMBANO. Tembelea website yao kwa maelezo zaidi http://www.ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=386
JUMANNE YA KUPIGA PESA NA UEFA HII HAPA.
-
LIGI ya mabingwa barani Ulaya, UEFA leo hii kupigwa mechi za Play-off
ambapo wewe sasa nafasi ya kupiga mkwanja wa maana upo. Weka timu zako za
ushindi n...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment