Maisha ni kutafuta bila kuchoka vijana wenzangu ingawa ajira zimekuwa ngumu ila naamini kila mtu ana nafasi yake na atafanikiwa kwa muda wake kwa wale hofu ya Mungu wanaamini hivyo pia kuomba bila kuchoka kwani yeye aliyejuu anajibu kwa wakati wake.Ingawa sisi tunachoka ni hali ya kawaida ukiwa unatafuta ila msingi ni kujua HAKUNA MAENDELEO KAMA HAMNA MAPAMBANO. Tembelea website yao kwa maelezo zaidi http://www.ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=386
Mtaji wa Matumaini Wagusa Wakazi Wa Buguruni
-
Katika mtaa wa Mivinjeni kata ya Buguruni, Meridianbet imeendesha kampeni
maalum ya kusaidia familia zenye uhitaji. Tukio hili lilikuwa ni ushuhuda
wa n...
18 hours ago







0 comments:
Post a Comment