Maisha ni kutafuta bila kuchoka vijana wenzangu ingawa ajira zimekuwa ngumu ila naamini kila mtu ana nafasi yake na atafanikiwa kwa muda wake kwa wale hofu ya Mungu wanaamini hivyo pia kuomba bila kuchoka kwani yeye aliyejuu anajibu kwa wakati wake.Ingawa sisi tunachoka ni hali ya kawaida ukiwa unatafuta ila msingi ni kujua HAKUNA MAENDELEO KAMA HAMNA MAPAMBANO. Tembelea website yao kwa maelezo zaidi http://www.ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=386
TBS Kanda ya Dar es salaam yateketeza bidhaa hafifu tani 50
-
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza jumla ya tani 50 za bidhaa
hafifu zenye thamani ya shilingi milioni 525, ambapo kati ya hizo tani 40
zimeish...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment