Jurgen Klopp amejitia kitanzi ndani ya liverpool na kuwaahidi mashabiki kuanza kuamini zaidi kuliko kuwa na wasiwasi huku akifunga zaidi ya pound 6 milioni kwa msimu.Huku akitamka kuwa amepata kazi nzuri yenye changamoto katika ulimwengu wa soka.
Rais Ruto aomboleza Kifo cha Mbunge wa Ol Kalou
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Rais wa Kenya, William Ruto, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo
cha Mbunge wa Jimbo la Ol Kalou, David Njuguna Kiaraho, akie...
2 hours ago







0 comments:
Post a Comment