Jurgen Klopp amejitia kitanzi ndani ya liverpool na kuwaahidi mashabiki kuanza kuamini zaidi kuliko kuwa na wasiwasi huku akifunga zaidi ya pound 6 milioni kwa msimu.Huku akitamka kuwa amepata kazi nzuri yenye changamoto katika ulimwengu wa soka.
CHATILA AFUNGUKA MIPANGO YA KUIBADILI UJENZI SPORTS CLUB
-
*Na. Mtemi Sona*
*Dodoma. Mwenyekiti wa Ujenzi Sports Club, Arch. Ibrahim Chatila, amesema
uongozi mpya umejipanga kuijenga timu hiyo kuwa ya kisasa, im...
20 hours ago







0 comments:
Post a Comment