Yanga leo imelazimishwa sare na Azam katika mchezo uliokosa ufundi kwa timu zote.Yanga ilipata bado lake kupitia kwa Donald Ngoma katika kipindi cha kwanza huku Kipre Tchetche aliyeingia alisawazisha katika kipindi cha pili
Huko Mbeya Simba iliitambia Mbeya city baada ya kuiifunga bao moja kupitia kwa Juuko Murshid.Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kuongoza huku Azam ikifuatia na Simba ni ya tatu.
TCAA Yatumia Wiki ya Utumishi wa Umma Kuelimisha Wananchi
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na Taasisi mbalimbali
za umma kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayofany...
1 day ago






0 comments:
Post a Comment