Yanga leo imelazimishwa sare na Azam katika mchezo uliokosa ufundi kwa timu zote.Yanga ilipata bado lake kupitia kwa Donald Ngoma katika kipindi cha kwanza huku Kipre Tchetche aliyeingia alisawazisha katika kipindi cha pili
Huko Mbeya Simba iliitambia Mbeya city baada ya kuiifunga bao moja kupitia kwa Juuko Murshid.Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kuongoza huku Azam ikifuatia na Simba ni ya tatu.
Waziri Kapinga: Mbolea Hai iwe na Ubora kwa Maslahi ya Wakulima
-
*Na Mwandishi Wetu, Kibaha*
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameitaka Tanzania Biotech
Production Ltd (TBPL) kuhakikisha inazingatia ubor...
10 hours ago






0 comments:
Post a Comment