Twaweza sema tatizo la ajira sasa linakuwa janga ndani ya serikali nyingi za africa huku wahitimu wengi wakiwa wanahaha kutafuta ajira ambazo zimekuwa ni adimu sana katika kipindi hiki.Hii imepelekea serikali nyingi kuelekeza wahitimu watumie fursa walizo nazo waweze kujiari.Hivyo kuelekea hili vyuo 16 vya Afica vimekutana mjini Arusha kupanga mikakati jinsi ya kuwasaidia vijana wanaohitimu katika vyuo,waweze kujiajiri badala ya kusubiri ajira pekee.Hakika hili linapaswa kusimamiwa ili kubadili akili za wahitimu wengi ili kuwafanya wajisiri na kuweza kujiari na kupunguza tatizo la ajira
Vitambulisho vipya vya JAB ni Hatua ya Kuimarisha Taaluma ya Uandishi wa
Habari
-
*Na Mwandishi Wetu, JAB*
*Vitambulisho vipya vya kidijitali vinavyoendelea kutolewa na Bodi ya
Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) vimepokelewa kwa fura...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment