Mgombea urahisi kupitia umoja wa vyama vya upinzani (ukawa) Edward Lowassa akihutubia mkutano katika viwanja Kwasakwasa wilayani Same ametoa ahadi ya kufuta madeni yote ya wanafunzi kupitia Bodi ya mikopo na kuaahidi kutoa elimu bure kuanzia shule za msingi mapaka chuo kikuuu.Ni habari njema kwani kwa tathimini ndogo mtu ukishindwa kulipa mkopo wake ndani ya miaka mitatu au mitano labda kwa kushindwa kufanya hivyo baada ya kushindwa kupata kazi au mtaji wa kujiari thamani ya mkopo inaweza kuwa mara mbili zaidi kwa sababu ya asilimia inayojikusasha kila mwaka.
NECTA YATANGAZA MTIHANI WA DARASA LA SABA SEPTEMBA 9 NA 10
-
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza kuwa Mtihani wa Kumaliza
Elimu ya Msingi (PSLE) kwa mwaka 2026 utafanyika Septemba 9 na 10,
ukihusisha...
26 minutes ago







0 comments:
Post a Comment