Mgombea urahisi kupitia umoja wa vyama vya upinzani (ukawa) Edward Lowassa akihutubia mkutano katika viwanja Kwasakwasa wilayani Same ametoa ahadi ya kufuta madeni yote ya wanafunzi kupitia Bodi ya mikopo na kuaahidi kutoa elimu bure kuanzia shule za msingi mapaka chuo kikuuu.Ni habari njema kwani kwa tathimini ndogo mtu ukishindwa kulipa mkopo wake ndani ya miaka mitatu au mitano labda kwa kushindwa kufanya hivyo baada ya kushindwa kupata kazi au mtaji wa kujiari thamani ya mkopo inaweza kuwa mara mbili zaidi kwa sababu ya asilimia inayojikusasha kila mwaka.
TBS Kanda ya Dar es salaam yateketeza bidhaa hafifu tani 50
-
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza jumla ya tani 50 za bidhaa
hafifu zenye thamani ya shilingi milioni 525, ambapo kati ya hizo tani 40
zimeish...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment