Mgombea urahisi kupitia umoja wa vyama vya upinzani (ukawa) Edward Lowassa akihutubia mkutano katika viwanja Kwasakwasa wilayani Same ametoa ahadi ya kufuta madeni yote ya wanafunzi kupitia Bodi ya mikopo na kuaahidi kutoa elimu bure kuanzia shule za msingi mapaka chuo kikuuu.Ni habari njema kwani kwa tathimini ndogo mtu ukishindwa kulipa mkopo wake ndani ya miaka mitatu au mitano labda kwa kushindwa kufanya hivyo baada ya kushindwa kupata kazi au mtaji wa kujiari thamani ya mkopo inaweza kuwa mara mbili zaidi kwa sababu ya asilimia inayojikusasha kila mwaka.
TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI WA DAWA AFRIKA, YAWAALIKA
WAWEKEZAJI WA CHINA
-
Na John Mapepele, Wu hani - China
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya
viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha...
16 hours ago







0 comments:
Post a Comment